Hivi kuna ongezo lolote la mshahara kwa walimu?

Hivi kuna ongezo lolote la mshahara kwa walimu?

MAKAVU LAIVU

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
75
Reaction score
12
wadau mm nataka kujua maana naona bajeti imesomwa ila cjajickia km kuna ongezeko au upunguzwaji wa kodi katika mishahara yetu km kuna mdau anajua bhasi anifahamishe
 
Haaaahaa subiri mwakani ndugu mwalimu watakuongezea kama 70 elfu ivi ili kukulainisha kwenye zoezi la uchaguzi uwe msaada wa kutosha kama kawaida uchakachuzi uwe mwepesi,mwaka huu kodi imepungua kwa 1% na tegemea kuongezwa 30 elfu kama kawaida.
 
Back
Top Bottom