Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
Wadau za kutwaa!!!
Jana katika pita pita Kwa wadau wangu kadhaa wakongwe mujini nikawachana kuwa wadauee "eeee" Leo kijana wenu Dina hela hata ya kipiga masta hebu nitoeni basi mdogo wenu nikazibue kichwa hata na tingisha mbili tu.
Ndiyo lijendi mmoja akafungua kanailoni flani kabluu nikaona vitu flani vya unga vina rangi ya kahawa. Akasema mdogo wangu... Huu ni ugoro akanioa kidogo akakadiria kiasi flani akasema weka chini ya mdomo mate matatu ya Kwanza tema yanayoendelea meza, ukiona stimu umekolea tema. Nikaweka.
Stimu zilivyopanda balaa nikaenda kukamata demu mmoja hivi. Ebwana EEE... Nilimginga usiku kucha bao halitoki, Yani toka saa tatu usiku mpaka saa moja asubuhi.
SASA WADAU NAULIZA KUNA SIRI GANI KWENYE UGORO.
Jana katika pita pita Kwa wadau wangu kadhaa wakongwe mujini nikawachana kuwa wadauee "eeee" Leo kijana wenu Dina hela hata ya kipiga masta hebu nitoeni basi mdogo wenu nikazibue kichwa hata na tingisha mbili tu.
Ndiyo lijendi mmoja akafungua kanailoni flani kabluu nikaona vitu flani vya unga vina rangi ya kahawa. Akasema mdogo wangu... Huu ni ugoro akanioa kidogo akakadiria kiasi flani akasema weka chini ya mdomo mate matatu ya Kwanza tema yanayoendelea meza, ukiona stimu umekolea tema. Nikaweka.
Stimu zilivyopanda balaa nikaenda kukamata demu mmoja hivi. Ebwana EEE... Nilimginga usiku kucha bao halitoki, Yani toka saa tatu usiku mpaka saa moja asubuhi.
SASA WADAU NAULIZA KUNA SIRI GANI KWENYE UGORO.