Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Wabongo sio hustler kabisa, sisi sio wapiganaji ndo maana ni nadra kusikia diaspora ni maarufu au kafanya kitu flani

Mfano angalia kwenye wachezaji wengi kama wakina Saka, Tammy Abraham, giannis unaona kabisa hata diaspora wakibongo sio wapambanaji ni tatizo kubwa sana linaloisumbua jamii yetu
 
Kwasababu tuchukue mtu analipwa mshahara wa 2000€ kazi ngumu, hapo kodi kama huja familia wanachukua chao kama 30% wewe kodi ya nyumba kama mji mkubwa si chini ya 700€ unabaki na nini hapo.
Mim siwez walaumu wanafeli kwa Sababu western world kugumu sana, at least wanaoenda kama ma-experts kitu ambacho kwa watanzania ni kigumu sana kutokana na ubovu wa elimu yetu na mentality ya kibongo
 
Umesema huku mambo pambe mmeoana.
Sasa kama mmeoana kipi kilikupelekea kudanga na huyo kaka wa Kibongo /Kimarekani?
 
Reactions: Tui
 
Na nyie mnaoponda diasporas mnajua ni wangapi wamekwamishwa na kurudisha nyuma na ndugu zao waliopo hapa nyumbani? Watu wanatuma hela wajengewe wanatumiwa picha za uongo watu wanakula hela, wapo waliofungua miradi kibao ndugu wakaiua. Kwahio mkiona watu wamerudi hawana kitu msihukumu hamjui kilichowasibu.
 
Sio kweli.
 
Wacha nifunge mdomo wangu and mind my business!!..Kuna ukweli wa haya uliyojaribu kuelezea lakini yanafichwa sana!!..
 
Huyo mwamba wa tano ungeendelea naye tu,sioni tatizo, kama kwao pesa zipo na wanampa na nyumba tayari kashapewa tatizo liko wapi. Nimemfurahia yeye hana ubinafsi ameachia watu wengine wanaotoka familia maskini wapate kazi wajikombe ila yeye alishakombolewa zamani na wazazi wake.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Wacha nifunge mdomo wangu and mind my business!!..Kuna ukweli wa haya uliyojaribu kuelezea lakini yanafichwa sana!!..
Funguka tu Kaka japo uwe na Moyo wa kukubali mashambulizi wakiamka huko ughaibuni😂😂😂😂
 
Wacha nifunge mdomo wangu and mind my business!!..Kuna ukweli wa haya uliyojaribu kuelezea lakini yanafichwa sana!!..
Ongea tu , ukiishi ughaibuni lazima uwe na discipline ya maisha usilete maisha yako ya kibongo huku, hamna cha born town au mission town huku. Ughaibuni usipofanya kazi kwa bidii basi na maisha yako yatakua ya kizembe zembe hivyo hivyo. Vijana wengi walioenda ughaibuni kuanzia 2005s walienda kwa nia wakirudi bongo wawe wametusua wakakuta hali sio hali ndio hao nafikiri wanaongelewa wamekwama, lakini wale walioenda 1990s wengi wao walienda kuishi ma mbele na kurudi bongoland ni majaaliwa. kuna tofauti!!!
 
Wewe Una nini Ndugu!!.. Unadhani wote humu hatujawahi kuishi ulaya,Marekani na Gulf?!!..Hebu tuliza matako yako huko!!!..
 
Binaadamu sisi ni wagumu sana maisha unaweza ukayapati au ukayafeli popote.. watu wa ughaibuni lawama nyingi kwao na sijui kwanini?
 
Dada acha kutaka mawazo yako ndio yaonekane legit.

Mimi Nina ndugu yangu Ni anko wangu yuko Canada. Dar ana viwanja si chini Ya 10. Na vitano viko kwenye very prime area. Ana hotel moja iko njia ya Morogoro road.

Kiwanja Cha mwisho aliniingizia hela mimi kwenye account yangu ili anunue eneo liko sinza. Sasa imagine mtu ananunua eneo sinza.

So acha kuwa naive and stop that generativity mentality.


Nina mengi ya kuandika kuhusu ndugu zangu wengine watatu walioko huko na kufuru walizofanya bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…