Hivi kuna ukweli kwamba ukifanya ngono na baadhi ya wanawake wanakuachia nuksi na laana?

Hivi kuna ukweli kwamba ukifanya ngono na baadhi ya wanawake wanakuachia nuksi na laana?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Wakuu hivi kuna ukweli kwamba ukifanya ngono na baadhi ya wanawake au ukifanya ngono na hawa dada poa unaweza kupata laana na nuksi ambao inaweza kupelekea mambo yako yako kwenda mlama? Sasa ninachojiuliza hizo laana na nuksi wanazipataje? Kwanini wasipewe watu wengine ila ni wao? Na utajuaje kwamba huyu ana laana au nuksi?

Kwenye imani au dini yangu moja ya sababu inayoleta umasikini na ufakiri ni ngono na je hao matajiri wengi hawafanyi ngono zembe mara kwa mara ndiyo inafanya wafanikiwe? Lakini mafanikio na utajiri ni nini? Mbona kuna wasanii wengi sana kama mmakonde anabadilisha wanawake kila mara na bado ana make dow au hapo inakuaje?
 
Hii dhana (Imani)ndio imesababisha watoto wadogo kuanzia 1yr hadi 10yrs wawe wanabakwa sana kwa kuamini vile hawajarogwa hawana mikosi basi utachukua nyota zao
 
Kweli kabisa

Usilale na malaya hawa wanaojiuza ni hatari sana

Na mke wa mtu

Ila Kama wewe ni Mwalimu ,umeajiriwa na hauna future na maisha we chinja tu hao malaya
 
ni ziad ya raha wengine ni roho za r.i.p
 
Hayo mambo ya kuamini kwenye kishirikina kwa kila kitu hata kiwe bayana yapo huku Afrika ndio maana hatupigi hatua. Hakuna habari za nyota wala mikosi ya kishirikina.

Nashauri acha kulala na wanawake ovyo ovyo kama mwendawazimu, wengi ni ombaomba, wana UTI sugu, magonjwa ya zinaa utayaepuka, zaidi ya yote wanawake watakuletea karaha tu kwenye maisha yako na kukusosesha utulivu na focus. Wengi simu zao ni malalamiko na mizinga. Hawana faida. Hayo ukiyajumuisha ndio mikosi yenyewe.
 
Ila nyie malaika watakatifu ndio hamna mikosi?
 
Bila Shaka inaweza kuwa na ukweli ndani yake Mimi nilisotaga for Six months kazin bila kupata promotion yyte ile but nikafanikiwa kumpata binti mmoja hvi hapo mloka asee yaan siku ya kwanza tu ananipa mzigo Nikajiona tu mimi mwenyew nimekuwa na amani ya moyo automatic na asubuh yake napigiwa simu nimekuwa selected kwenda sumbawanga,Dodoma na katavi asee nilianza kupata tip yaan acha tu tatzo mwanamke mwenye alikuwaga msambinungwa tu yaan unampa kila kitu ila bado analeta ungese Nikapiga chini
Acha utoto
 
Kama wanaweza kukupa mikosi pia wanaweza kukupa baraka
 
Wakuu hivi kuna ukweli kwamba ukifanya ngono na baadhi ya wanawake au ukifanya ngono na hawa dada poa unaweza kupata laana na nuksi ambao inaweza kupelekea mambo yako yako kwenda mlama? Sasa ninachojiuliza hizo laana na nuksi wanazipataje? Kwanini wasipewe watu wengine ila ni wao? Na utajuaje kwamba huyu ana laana au nuksi?

Kwenye imani au dini yangu moja ya sababu inayoleta umasikini na ufakiri ni ngono na je hao matajiri wengi hawafanyi ngono zembe mara kwa mara ndiyo inafanya wafanikiwe? Lakini mafanikio na utajiri ni nini? Mbona kuna wasanii wengi sana kama mmakonde anabadilisha wanawake kila mara na bado ana make dow au hapo inakuaje?
Na kwanini ufanye ngono kabla ya ndoa?
 
Back
Top Bottom