Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Nimekuwa nikiona hawa watu wanne wakiwa karibu sana na kushirikiana sana katika mambo mbalimbali hali iliyonifanya nijiulize kuna uhusiano gani. Najua lazima watakuwa ndugu lakini sijajua ni undugu gani uliopo baina ya Ladyjaydee na Wasira, Wakazi na Ester Wasira. Kiufupi nimependa jinsi wanavyoshirikiana.
UPDATES
Baada ya kuutafuta ukweli nimegundua yafuatayo.
Je wajua kuwa Judith Wambura Mbibo aka Lady Jaydee na rapper Webiro Wasira aka Wakazi ni mtu na binamu yake?
Baada ya kubaini mazungumzo yao kwenye Twitter yalionesha kuwa na uhusiano wa karibu, tumeamua kumuuliza Wakazi, yeye na Jide wakoje!!
“Jaydee ni mtoto wa baba yangu mkubwa. Anaanza baba yake Jide, anafuata baba mkubwa aliyefariki juzi halafu anafuatia baba yangu , mimi na Esther halafu anafuatia Mheshimiwa Steven Wasira,”
Wakazi ameiambia Bongo5.
Source: Bongo5.com
UPDATES
Baada ya kuutafuta ukweli nimegundua yafuatayo.
Je wajua kuwa Judith Wambura Mbibo aka Lady Jaydee na rapper Webiro Wasira aka Wakazi ni mtu na binamu yake?
Baada ya kubaini mazungumzo yao kwenye Twitter yalionesha kuwa na uhusiano wa karibu, tumeamua kumuuliza Wakazi, yeye na Jide wakoje!!
“Jaydee ni mtoto wa baba yangu mkubwa. Anaanza baba yake Jide, anafuata baba mkubwa aliyefariki juzi halafu anafuatia baba yangu , mimi na Esther halafu anafuatia Mheshimiwa Steven Wasira,”
Wakazi ameiambia Bongo5.
Source: Bongo5.com
Last edited: