Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Hahaaaa!!! Haya bwanaHapana mkuu, lakini mindivyo ninavyo muonaga. Labda kidogo macho yangu yamechangamka sana... tehteehhh
Mkuu, asante Kwa kutambua kwamba weekend ndio imeanzaHahaaaa!!! Haya bwana
Anafanyia studio gani?Umemsahau producer Dembo ni ndugu wa damu na Komandoo
Aha kumbe Wasira bamdogo wake na jide asante mkuuBaba yake mdogo
Wasira Stephen ni baba yake wakazijay dee na wakazi najua ni ndugu sijui hao wengine
baba yake mdogoWasira Stephen ni baba yake wakazi
Huyo dogo ni mnyamwezi Chikago huwa anaingia na kutoka kama nyumbani kwake wanasema ana makazi mawili mbele na hapa bongo pande za ukonga, Pia anasema mwenyewe ameshawahi kufanya kazi katika moja ya hotel za Trump huko Chikago. Yeye anafanya mziki wa hiphop just for funny maana katika maisha ameshapata ambacho wanamziki wa bongo wanakitafuta
Oi album gani ya immortal unaielewa?Write your reply...Jaydee ana mdogoake anaitwa Dabo ni mwanamuziki wa reggae
Kiki gani,hebu nikumbushe kidogoSwaga Bovu ametoka kama alivyotoka Harmorapa,alianza kujulikana kwa kiki kuliko kazi zake.
pia jamaa anajua mengi kuhusu muziki, ameishawahi kupiga show kwenye stage zenye hadhi ya juu ambazo wasanii kibao wa hip ho hawajawahi. Mwanzo alipata taabu sana ku link kwenye soko la Tanzania ila taratibu naona wasanii wenzake wanaanza kumuelewa lakini pia hata mashabiki wanaanza kuelewa ubora wa huyu jamaa. sasa hivi ana collabo yake na Nikki Mbishi, kiukweli kwa knowledge aliyonayo akiongeza juhudi kidogo anaweza kutoka kiafrika.Huyo dogo ni mnyamwezi Chikago huwa anaingia na kutoka kama nyumbani kwake wanasema ana makazi mawili mbele na hapa bongo pande za ukonga, Pia anasema mwenyewe ameshawahi kufanya kazi katika moja ya hotel za Trump huko Chikago. Yeye anafanya mziki wa hiphop just for funny maana katika maisha ameshapata ambacho wanamziki wa bongo wanakitafuta
Oi album gani ya immortal unaielewa?
Oi album gani ya immortal unaielewa?[/QUOTkuanzia revolutionary vol 2,the 3rd world and the martyer
revolutionary vol2,the third world and the martyerOi album gani ya immortal unaielewa?