Hivi kuna undugu kati ya CCM na timu ya Yanga?

Hivi kuna undugu kati ya CCM na timu ya Yanga?

THE GREAT CAMP

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
765
Reaction score
194
Ukifuatilia kwa ukaribu, utaona kuwa kuna mambo mengi yaliyopo Chama cha Mapinduzi (CCM) yanafanana na yale ya Timu ya yanga. Angalia mifano hii ifuatayo:

Jengo la CCM
: jengo ccm.jpg Vs Jengo la Yanga jengo yanga.jpg

Gari la CCM
ccm2.jpg Vs Gari la Yanga images.jpg
Wanachama CCM
ccm3.jpg Vs Mashabiki Yangamashabiki.jpg

Sare za viongozi CCM
ccm4.jpg Vs Jezi za Wachezaji Yangajezi yanga.jpg
Kila kundi kati ya hivyo nilivyo vitaja naona kama vinafanana fanana vile! Je hizi taasisi mbili zina uhusiano? Mwenye kufahamu naomba anisaidie.
 
Fuatilia historia. Timu ya Yanga ilianzishwa na Wazalendo Watanganyika. Simba (Ikijulikana kama Sunderland) ilianzishwa na weupe. Yanga ilikuwa na mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru kwani wazee wetu waliweza kukutana bola shida.
 
Fuatilia historia. Timu ya Yanga ilianzishwa na Wazalendo Watanganyika. Simba (Ikijulikana kama Sunderland) ilianzishwa na weupe. Yanga ilikuwa na mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru kwani wazee wetu waliweza kukutana bola shida.
well said mkuu!!
 
Fuatilia historia. Timu ya Yanga ilianzishwa na Wazalendo Watanganyika. Simba (Ikijulikana kama Sunderland) ilianzishwa na weupe. Yanga ilikuwa na mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru kwani wazee wetu waliweza kukutana bola shida.

Kwahiyo mpaka sasa bado ina mlengo wa CCM au?
 
Mleta thread uko vizuri kwa huo ushahidi
ulioleta japo wakija wenyewe watakutukana
lakini ukianzia majengo,rangi n k
Ni wazi wako pamoja hao.
 
Kwa hiyo kuna undugu kati ya TOT na CCM mbona nao wana rangi za CCM
 
Miaka hiyo ya 1935 yanga ilipoanzishwa ililenga kuwakutanisha kirahisi na kupanga mipango yao.
 
Back
Top Bottom