THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Ukifuatilia kwa ukaribu, utaona kuwa kuna mambo mengi yaliyopo Chama cha Mapinduzi (CCM) yanafanana na yale ya Timu ya yanga. Angalia mifano hii ifuatayo:
Jengo la CCM
:
Vs Jengo la Yanga 
Gari la CCM
Vs Gari la Yanga 
Wanachama CCM
Vs Mashabiki Yanga
Sare za viongozi CCM
Vs Jezi za Wachezaji Yanga
Kila kundi kati ya hivyo nilivyo vitaja naona kama vinafanana fanana vile! Je hizi taasisi mbili zina uhusiano? Mwenye kufahamu naomba anisaidie.
Jengo la CCM
:
Vs Jengo la Yanga 
Gari la CCM
Vs Gari la Yanga 
Wanachama CCM
Vs Mashabiki Yanga
Sare za viongozi CCM
Vs Jezi za Wachezaji Yanga
Kila kundi kati ya hivyo nilivyo vitaja naona kama vinafanana fanana vile! Je hizi taasisi mbili zina uhusiano? Mwenye kufahamu naomba anisaidie.