THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
well said mkuu!!Fuatilia historia. Timu ya Yanga ilianzishwa na Wazalendo Watanganyika. Simba (Ikijulikana kama Sunderland) ilianzishwa na weupe. Yanga ilikuwa na mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru kwani wazee wetu waliweza kukutana bola shida.
Fuatilia historia. Timu ya Yanga ilianzishwa na Wazalendo Watanganyika. Simba (Ikijulikana kama Sunderland) ilianzishwa na weupe. Yanga ilikuwa na mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru kwani wazee wetu waliweza kukutana bola shida.