Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala mkononi mwa mtu?

Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala mkononi mwa mtu?

Decency13

Member
Joined
Jun 2, 2023
Posts
14
Reaction score
20
Kwa wenye uzoefu,

Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala kwa mkononi mwa mtu?
 
Ngoja waje wajuzi..
Labda ununue uende ukaibadili kwa mtandao husika.
 
Kwa wenye uzoefu,
Hivi kuna usalama kiasi ganj kununua laini za uwakala kwa mkononi mwa mtu?
Laini za Uwakala zinasajiliwa kwa majina mahususi ya aliyeomba. Na ataendelea kutambulika kama mmiliki halali wa line hizo.

Hasara zake ni zipi?
1. Ukiipoteza, omba isiwe na hela. Kama ipo nayo, atakayeweza kuirejesha ni mwenye nayo tu (mmiliki). Bahati mbaya sana mnanunua kwa madalali, ambao nao wamenunua kwa wengine, hivyo hata mmiliki halali hujawahi kumjua. Maana yake umepata hasara ya jumla.

2. Ukitaka taarifa za miamala (statements) huwezi kuipata. Mhusika pekee ndiye anaweza kwenda kuiomba. Mambo yako mengi juu ya ufuatiliaji yatashindwa kufanikiwa.

3. Endapo kuna utapeli au wizi unefanyika na bahati mbaya sana umefanyikia kwenye line yako ya Uwakala, basi uchunguzi huanzia kwako. Upelelezi huanza kwa kujua kama wewe ndiye mmiliki halali wa Till husika. Si majina wala taraafa za mmiliki unayo. Utakuwa kama sehemu ya wizi na Utapeli. Mpaka ukweli uje kufahamika umeshaumia.

4. Unavunja sheria za umiliki. TCRA na Mtandao wako wanaweza kukuwajibisha kutumia line ambayo si mmiliki halali. Wanaweza pia kukufungia watakapojisikia na hata kufreeze kiasi cha pesa kilichomo.

5. Line zingine zina mikopo mfano WEZESHA, nk. Unaweza kuchukua line, ile unaweka tu fedha wanaipitia. Aliyekuuzia atakukana. Ukiamua kwenda polisi utaambulia patupu. Unamilikije line isiyo yako?

6. Huweza kutokea mtandao wakataka kuhuisha taarifa za Uwakala. Utapaswa kufika na documents zako za line husika. Wewe huna, wanaiblock kufanya miamala.

FAIDA:
1. Utaweza kujiingizia kipato kwa kupata Commission.

2. Utakwepa msururu wa taratibu za kupata line husika.

3. Kama mmiliki alikuwa na historia nzuri, basi inakuongezea credi point za kukopesheka.

Amua kwa busara.
 
Airtel Money unaweza kuipata line yao kwa siku moja tu! Kwa nini usisajili biashara yako ili upate Tin pamoja na leseni ya biashara, na hivyo kupata line zenye majina yako?
 
Airtel Money unaweza kuipata line yao kwa siku moja tu! Kwa nini usisajili biashara yako ili upate Tin pamoja na leseni ya biashara, na hivyo kupata line zenye majina yako?
Kama tayari una TIN kwaajili ya biashara nyingine kuna ulazima wa kuapply TIN mpya kwaajili ya uwakala?
 
Laini za Uwakala zinasajiliwa kwa majina mahususi ya aliyeomba. Na ataendelea kutambulika kama mmiliki halali wa line hizo.

Hasara zake ni zipi?
1. Ukiipoteza, omba isiwe na hela. Kama ipo nayo, atakayeweza kuirejesha ni mwenye nayo tu (mmiliki). Bahati mbaya sana mnanunua kwa madalali, ambao nao wamenunua kwa wengine, hivyo hata mmiliki halali hujawahi kumjua. Maana yake umepata hasara ya jumla.

2. Ukitaka taarifa za miamala (statements) huwezi kuipata. Mhusika pekee ndiye anaweza kwenda kuiomba. Mambo yako mengi juu ya ufuatiliaji yatashindwa kufanikiwa.

3. Endapo kuna utapeli au wizi unefanyika na bahati mbaya sana umefanyikia kwenye line yako ya Uwakala, basi uchunguzi huanzia kwako. Upelelezi huanza kwa kujua kama wewe ndiye mmiliki halali wa Till husika. Si majina wala taraafa za mmiliki unayo. Utakuwa kama sehemu ya wizi na Utapeli. Mpaka ukweli uje kufahamika umeshaumia.

4. Unavunja sheria za umiliki. TCRA na Mtandao wako wanaweza kukuwajibisha kutumia line ambayo si mmiliki halali. Wanaweza pia kukufungia watakapojisikia na hata kufreeze kiasi cha pesa kilichomo.

5. Line zingine zina mikopo mfano WEZESHA, nk. Unaweza kuchukua line, ile unaweka tu fedha wanaipitia. Aliyekuuzia atakukana. Ukiamua kwenda polisi utaambulia patupu. Unamilikije line isiyo yako?

6. Huweza kutokea mtandao wakataka kuhuisha taarifa za Uwakala. Utapaswa kufika na documents zako za line husika. Wewe huna, wanaiblock kufanya miamala.

FAIDA:
1. Utaweza kujiingizia kipato kwa kupata Commission.

2. Utakwepa msururu wa taratibu za kupata line husika.

3. Kama mmiliki alikuwa na historia nzuri, basi inakuongezea credi point za kukopesheka.

Amua kwa busara.
Hela Huwa inatolewa tu hiyo namba 1 hauko sahihi, ambacho hakiwezekani ni kui renew lakini ya uwakala sababu unakuwa huna viambata ila kama laini imepotea na Kuna Hela, hela inatolewa simple tu.
 
Hela Huwa inatolewa tu hiyo namba 1 hauko sahihi, ambacho hakiwezekani ni kui renew lakini ya uwakala sababu unakuwa huna viambata ila kama laini imepotea na Kuna Hela, hela inatolewa simple tu.
Kwa njia gani?
 
Usalma upo ukinunuwa kwa muhisika mwenye jina lake

Ila kama una dokoment tengeneza zako
Naweza kukusaidia kupata zako
 
Hasara za hizo line ni kama muhusika anadaiwa wezesha au songesha au akaamua kukuibia hela yako kwa njia ya kwenda kurenew line. ....cha muhimu nii kusajili line yenye majina yako
 
Hasara za hizo line ni kama muhusika anadaiwa wezesha au songesha au akaamua kukuibia hela yako kwa njia ya kwenda kurenew line. ....cha muhimu nii kusajili line yenye majina yako
nakumbuka kuna kipindi nilisajili laini kwa wakala kumbe alifanya uhuni wa kusajili namba mbili.
kikufahamu sasa muda ukapita sana kunasiku tukiwa na jamaa zangu story 2,3 mada ikaja juu ya kucheki namba ngapi zimesajiliwa kwa nida yako ,basi nikatizana nikakuta ziko mbili na moja siifahamu muda huo huo nikaifunga bada ya wiki nikairudisha upya kama yangu na jamaa aliyenirudishia aliniuliza kiwango gani cha pesa kilikua nikamwambia sikumbuki wala namba sijawahi save uko ,aisee kumbe ilikua na laki mbili na point .nikiikomba yote kisha nikaiyacha hewani kama kawaida
 
Laini za Uwakala zinasajiliwa kwa majina mahususi ya aliyeomba. Na ataendelea kutambulika kama mmiliki halali wa line hizo.

Hasara zake ni zipi?
1. Ukiipoteza, omba isiwe na hela. Kama ipo nayo, atakayeweza kuirejesha ni mwenye nayo tu (mmiliki). Bahati mbaya sana mnanunua kwa madalali, ambao nao wamenunua kwa wengine, hivyo hata mmiliki halali hujawahi kumjua. Maana yake umepata hasara ya jumla.

2. Ukitaka taarifa za miamala (statements) huwezi kuipata. Mhusika pekee ndiye anaweza kwenda kuiomba. Mambo yako mengi juu ya ufuatiliaji yatashindwa kufanikiwa.

3. Endapo kuna utapeli au wizi unefanyika na bahati mbaya sana umefanyikia kwenye line yako ya Uwakala, basi uchunguzi huanzia kwako. Upelelezi huanza kwa kujua kama wewe ndiye mmiliki halali wa Till husika. Si majina wala taraafa za mmiliki unayo. Utakuwa kama sehemu ya wizi na Utapeli. Mpaka ukweli uje kufahamika umeshaumia.

4. Unavunja sheria za umiliki. TCRA na Mtandao wako wanaweza kukuwajibisha kutumia line ambayo si mmiliki halali. Wanaweza pia kukufungia watakapojisikia na hata kufreeze kiasi cha pesa kilichomo.

5. Line zingine zina mikopo mfano WEZESHA, nk. Unaweza kuchukua line, ile unaweka tu fedha wanaipitia. Aliyekuuzia atakukana. Ukiamua kwenda polisi utaambulia patupu. Unamilikije line isiyo yako?

6. Huweza kutokea mtandao wakataka kuhuisha taarifa za Uwakala. Utapaswa kufika na documents zako za line husika. Wewe huna, wanaiblock kufanya miamala.

FAIDA:
1. Utaweza kujiingizia kipato kwa kupata Commission.

2. Utakwepa msururu wa taratibu za kupata line husika.

3. Kama mmiliki alikuwa na historia nzuri, basi inakuongezea credi point za kukopesheka.

Amua kwa busara.
Hii ni elimu nzuri
 
Back
Top Bottom