Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Hawa watu wanapenda sana kitonga, yani wanataka ufanye kazi kubwaaaa kwa ujira mdogo.
Sio hivyo tu pia wana tabia ya kufanyisha watu kazi masaa mengi bila kulipa overtime.
Kama unafanya nao kazi hawa raia hakikisha michango yako ya HESLB na makato ya NSSF yanapelekwa sehemu husika kila mwezi, utakuja kunishukuru baadae.
Hivi ukiacha Wahindi, Wachina na Wakenya kuna raia wengine wabahiri kushinda hawa ?
Sawa mamaHawakukuandikia barua ukafanye kazi kwao. Hivyo acha kazi uende kunyanyua mabango Kijitonyama
okKampun za kenya wanalipa kama serikali
Sawa dada AishaHutaki kazi kakae Kwa shemeji yako huko Tabata Magengeni