Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Habari wakuu!
Baada ya kusoma threads tofautitouti hatimae limenijia hili swali
Hivi JamiiForums kuna wachamungu humu?
View attachment 1886529
Tupo mkuuHivi JamiiForums kuna wachamungu humu?
Alafu huku ni anonymous namesJee, unasiri tukufichie au una amana tukutunzie ? Hofu ya Mungu ipo Ila hupanda na kushuka ( hubadilika badilika ) !!
Mkuu kwel hili nakuunga, lkn je ndo inavyotakiwa?Humu kuna watu wa kaliba zote, Freemason, wacha Mungu, wapagani, wasioamini chochote n.k tatizo la hapa watu wanaweza kuwa kitu chochote wakati wowote kulingana na matakwa ya wakati huo.
Hawatumii majina halisi so unaweza kuta mnachangia mada ya kula tunda kimasihara na mchungaji wako😂😂Kwann anonymous names?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Hawatumii majina halisi so unaweza kuta mnachangia mada ya kula tunda kimasihara na mchungaji wako[emoji23][emoji23]
So sad [emoji24][emoji24][emoji24]
Ahsante mkuuHongera mkuu coz it's not easy