Hivi kuna wahutu kwenye baraza la mawaziri la kagame?

Hivi kuna wahutu kwenye baraza la mawaziri la kagame?

Njalamatata

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2010
Posts
293
Reaction score
154
Kagame ambaye ni rais wa RWANDA,mara nyingi mbele ya mataifa amejinasibu kuwa ni mwenye kuleta umoja kwa wanyarwanda ili kuwasahaulisha makovu ya mauaji ya kimbari.Ninaomba kufahamishwa,hivi katika baraza la mawaziri la Kagame,kuna mwaziri au makatibu kutoka kabila la wahutu? Au katika vyombo vingine vya kiutawala kama mahakama na Jeshi ? Kama wapo ni kwa ratio gani,kwa kutumia wingi wa watu,usomi au matokeo ya kibunge? Mods kama kuna thread kama hii kabla,mnaweza kuiunganisha nayo
 
Waziri wa constitutional and legal affairs Evode Uwizeyimana ni Muhutu, waziri wa social economic development Vincent Munyeshyaka ni Muhutu na waziri mkuu Anastase Urekezi ni Muhutu pia. Note sijawataja wote.
 
serekali ya kibaguzi!!! Wahutu ni wachache tena Uhutu wao ni wa mashaka!
ungeuliza Watutsi ungeletewa list ya kutosha.
 
Back
Top Bottom