Hivi kuna Watanzania wasiojua Kiswahili?

Hivi kuna Watanzania wasiojua Kiswahili?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Nilifika mpakani mwa Tanzania na Rwanda - Rusumo, Jana Usiku!

Baada ya kuzunguka kidogo kwa ajili ya kutafuta pa kulala, niliamua kumwuliza mtu mmoja anioneshe gesti iliyopo karibu. Aliniponipeleka alikopaita gesti, japo nilimshukuru lakini sikukubali kulala hapo! Kwa nini?

1. Tulikutana na mhudumu wa hiyo gesti akiwa nje ya geti la "gesti", lakini gesti yenyewe haikuwa na bango!

2. Nilipotaka nione kwanza chumba kabla ya kukilipia alikataa. Sina uhakika kama alinielewa kwa sababu alikuwa akijibu kwa lugha nisiyoilewa. Hakuwa akiongea Kiswahili. Walikuwa wakizingumza kilugha na huyo aliyenipeleka hapo.

3. Kutokana na hilo, niliamua kuaga na kuondoka. Nilipofika barabarani, nilimwambia boda boda anipeleke gesti iliyopo jirani.

4. Mhudumu wa "gesti" niliyoikwepa alikuwa ni mwanamke mweupe wastani mwenye umri zaidi ya miaka kumi na nane lakini chini ya miaka thelathini, kulingana na mwonekano wake. Angelikuwa "kikongwe", nisingeshangaa sana kwa yeye kutokujua Kiswahili. Najua watu wa aina hiyo, hasa wazee, wangalipo Tanzania.

Inawezekana huyo "mhudumu" hakuwa Mtanzania?
 
Nilifika mpakani mwa Tanzania na Rwanda - Rusumo, Jana Usiku!

Baada ya kuzunguka kidogo kwa ajili ya kutafuta pa kulala, niliamua kumwuliza mtu mmoja anioneshe gesti iliyopo karibu. Aliniponipeleka alikopaita gesti, japo nilimshukuru lakini sikukubali kulala hapo! Kwa nini?

1. Tulikutana na mhudumu wa hiyo gesti akiwa nje ya geti la "gesti", lakini gesti yenyewe haikuwa na bango!

2. Nilipotaka nione kwanza chumba kabla ya kukilipia alikataa. Sina uhakika kama alinielewa kwa sababu alikuwa akijibu kwa lugha nisiyoilewa. Hakuwa akiongea Kiswahili. Walikuwa wakizingumza kilugha na huyo aliyenipeleka hapo.

3. Kutokana na hilo, niliamua kuaga na kuondoka. Nilipofika barabarani, nilimwambia boda boda anipeleke gesti iliyopo jirani.

4. Mhudumu wa "gesti" niliyoikwepa alikuwa ni mwanamke mweupe wastani mwenye umri zaidi ya miaka kumi na nane lakini chini ya miaka thelathini, kulingana na mwonekano wake. Angelikuwa "kikongwe", nisingeshangaa sana kwa yeye kutokujua Kiswahili. Najua watu wa aina hiyo, hasa wazee, wangalipo Tanzania.

Inawezekana huyo "mhudumu" hakuwa Mtanzania?

NB. Kichwa cha habari: KUNA WATANZANIA WASIOJUA KISWAHILI?
Njoo usukumani mbona wengi wasio jua kiswahili ni zaidi ya 40% hawajui kiswahili.
 
Hv unaanzaje kuomba msaada wa kuelekezwa mahali na mtu ambaye amekaa tuu hovyo hovyo? Mm nikienda sehemu ambayo siifahamu n lazima nitafute kijiwe cha bodaboda au tax Ndio niombe ramani.

Anyway, ht mm huku Arusha sijui Kiswahili vzr, hapa tuu ynyw nmejitahidi sanaaaaaaaaaaaa
 
Wapo wengi tu,kuna watu wamekulia vijijini huko kazi zao kulima na kuchunga mifugo,
Kuna madogo tunapiga nao tizi wao mda wote ni kilugha wakiongea kiswahili tunafurah namna wanavyozungumza ila sas ukiwaambia waongee kiswahili ni kama umewapa adhabu wanakuwa na wasi was wa kukosea
 
Yeah,wapo kabisa

Miaka ya nyuma kidogo nilifika mji wa Dodoma lakini vijijini huko , asilimia kubwa kiswahili hawakuwa wanafahamu.Neno walilokuwa wanasema ni "muzungu,mzungu" mengine yote kilugha hivyo mwenyeji alikuwa ananitafsiria kwa kiswahili.
 
Nilifika mpakani mwa Tanzania na Rwanda - Rusumo, Jana Usiku!

Baada ya kuzunguka kidogo kwa ajili ya kutafuta pa kulala, niliamua kumwuliza mtu mmoja anioneshe gesti iliyopo karibu. Aliniponipeleka alikopaita gesti, japo nilimshukuru lakini sikukubali kulala hapo! Kwa nini?

1. Tulikutana na mhudumu wa hiyo gesti akiwa nje ya geti la "gesti", lakini gesti yenyewe haikuwa na bango!

2. Nilipotaka nione kwanza chumba kabla ya kukilipia alikataa. Sina uhakika kama alinielewa kwa sababu alikuwa akijibu kwa lugha nisiyoilewa. Hakuwa akiongea Kiswahili. Walikuwa wakizingumza kilugha na huyo aliyenipeleka hapo.

3. Kutokana na hilo, niliamua kuaga na kuondoka. Nilipofika barabarani, nilimwambia boda boda anipeleke gesti iliyopo jirani.

4. Mhudumu wa "gesti" niliyoikwepa alikuwa ni mwanamke mweupe wastani mwenye umri zaidi ya miaka kumi na nane lakini chini ya miaka thelathini, kulingana na mwonekano wake. Angelikuwa "kikongwe", nisingeshangaa sana kwa yeye kutokujua Kiswahili. Najua watu wa aina hiyo, hasa wazee, wangalipo Tanzania.

Inawezekana huyo "mhudumu" hakuwa Mtanzania?

NB. Kichwa cha habari: KUNA WATANZANIA WASIOJUA KISWAHILI?
Wapo mkuu!Leoleo ijumaa kesho hatutafika shuleni(Lilinolilino kihano tutitakwisha kilabho)Tafsiri ya kinyakyusa enzi hizo ,mwalimu alitunga wimbo vijana wa Kijiji flani mkoani Mbeya,wengi walikuwa hawajui kiswahili.Kwa Sasa hivi wapo wachache huko.Nipo hapa Dodoma kuna vijiji pia hawajui kiswahili.
 
Nilifika mpakani mwa Tanzania na Rwanda - Rusumo, Jana Usiku!

Baada ya kuzunguka kidogo kwa ajili ya kutafuta pa kulala, niliamua kumwuliza mtu mmoja anioneshe gesti iliyopo karibu. Aliniponipeleka alikopaita gesti, japo nilimshukuru lakini sikukubali kulala hapo! Kwa nini?

1. Tulikutana na mhudumu wa hiyo gesti akiwa nje ya geti la "gesti", lakini gesti yenyewe haikuwa na bango!

2. Nilipotaka nione kwanza chumba kabla ya kukilipia alikataa. Sina uhakika kama alinielewa kwa sababu alikuwa akijibu kwa lugha nisiyoilewa. Hakuwa akiongea Kiswahili. Walikuwa wakizingumza kilugha na huyo aliyenipeleka hapo.

3. Kutokana na hilo, niliamua kuaga na kuondoka. Nilipofika barabarani, nilimwambia boda boda anipeleke gesti iliyopo jirani.

4. Mhudumu wa "gesti" niliyoikwepa alikuwa ni mwanamke mweupe wastani mwenye umri zaidi ya miaka kumi na nane lakini chini ya miaka thelathini, kulingana na mwonekano wake. Angelikuwa "kikongwe", nisingeshangaa sana kwa yeye kutokujua Kiswahili. Najua watu wa aina hiyo, hasa wazee, wangalipo Tanzania.

Inawezekana huyo "mhudumu" hakuwa Mtanzania?
Kwa takwimu za mwaka jana Kenya pamoja na kuongea kiswahili kibomvu, wana asilimia kubwa ya wa ongea kiswahili 85% kuliko Tanzania ni 58% ndo wanao ongea kiswahili. Kwasbb kiswahili Tanzania ni lazima ukijulie shuleni au uwe urban centre vijijini ndani hamna kiswahili kabisa.
 
Kwa takwimu za mwaka jana Kenya pamoja na kuongea kiswahili kibomvu, wana asilimia kubwa ya wa ongea kiswahili 85% kuliko Tanzania ni 58% ndo wanao ongea kiswahili. Kwasbb kiswahili Tanzania ni lazima ukijulie shuleni au uwe urban centre vijijini ndani hamna kiswahili kabisa.
Kiingereza walituzidi, na Kiswahili wanatuzidi pia?

Takwimu zingine tuwe tunazigomea😃
 
Kiingereza walituzidi, na Kiswahili wanatuzidi pia?

Takwimu zingine tuwe tunazigomea[emoji2]
Hawatuzidi kiswahili wanazidi kwa wingi wao kutumia kiswahili chao fake, kila mkenye ameenda shule au hapana ni lazima ajifunze hicho kiswahili chao fake.
 
Nilifika mpakani mwa Tanzania na Rwanda - Rusumo, Jana Usiku!

Baada ya kuzunguka kidogo kwa ajili ya kutafuta pa kulala, niliamua kumwuliza mtu mmoja anioneshe gesti iliyopo karibu. Aliniponipeleka alikopaita gesti, japo nilimshukuru lakini sikukubali kulala hapo! Kwa nini?

1. Tulikutana na mhudumu wa hiyo gesti akiwa nje ya geti la "gesti", lakini gesti yenyewe haikuwa na bango!

2. Nilipotaka nione kwanza chumba kabla ya kukilipia alikataa. Sina uhakika kama alinielewa kwa sababu alikuwa akijibu kwa lugha nisiyoilewa. Hakuwa akiongea Kiswahili. Walikuwa wakizingumza kilugha na huyo aliyenipeleka hapo.

3. Kutokana na hilo, niliamua kuaga na kuondoka. Nilipofika barabarani, nilimwambia boda boda anipeleke gesti iliyopo jirani.

4. Mhudumu wa "gesti" niliyoikwepa alikuwa ni mwanamke mweupe wastani mwenye umri zaidi ya miaka kumi na nane lakini chini ya miaka thelathini, kulingana na mwonekano wake. Angelikuwa "kikongwe", nisingeshangaa sana kwa yeye kutokujua Kiswahili. Najua watu wa aina hiyo, hasa wazee, wangalipo Tanzania.

Inawezekana huyo "mhudumu" hakuwa Mtanzania?
Kuna makabila kama hukwenda shule huwezi kujua kiswahili. Watakutajia
 
Kuna makabila kama hukwenda shule huwezi kujua kiswahili. Watakutajia
Kuna dogo mmoja wa kisukuma huwa analeta maziwa home. Sasa siku hiyo jumamos wife anamwambia , kesho (jumapili) hutatukuta, tunawah kanisani hivyo leta tu Jumatatu.
Yule dogo akasema sawa (lafudhi ya kingoosha kabisaa yan), nitakuja JUZI 😂😂.
Tukacheka sana.. alikua anamaanisha Keshokutwa
 
Kuna dogo mmoja wa kisukuma huwa analeta maziwa home. Sasa siku hiyo jumamos wife anamwambia , kesho (jumapili) hutatukuta, tunawah kanisani hivyo leta tu Jumatatu.
Yule dogo akasema sawa (lafudhi ya kingoosha kabisaa yan), nitakuja JUZI 😂😂.
Tukacheka sana.. alikua anamaanisha Keshokutwa
hata kwetu kuna wau hawajui kiswahili kwa vile hawajawahi kwenda shule au kuvuka lake!
 
Back
Top Bottom