Hivi kuna watu hawajawahi kweli kupigwa BAN toka waanze kutumia jf?

Hivi kuna watu hawajawahi kweli kupigwa BAN toka waanze kutumia jf?

Ntandaba

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
922
Reaction score
1,483
Nakumbuka nilipigwa ban hata bila kujua kosa langu,huyo mod aliyenipiga ban nahisi siku hiyo alikuwa na stress zake binafsi
Vipi wazee wenzangu kuna ambaye hajawahi kukutana na rungu la huyo mod mwenye kupigapiga ban bila kosa?au kuna mtumiaji yeyote toka aanze kutumia jf hajawahi kupigwa ban?
 
Wako wengi sana na wana mda mrefu humu
 
Mie toka nimekuwa member sijawahi kupewa ban hata mara moja
 
Back
Top Bottom