Nakumbuka nilipigwa ban hata bila kujua kosa langu,huyo mod aliyenipiga ban nahisi siku hiyo alikuwa na stress zake binafsi
Vipi wazee wenzangu kuna ambaye hajawahi kukutana na rungu la huyo mod mwenye kupigapiga ban bila kosa?au kuna mtumiaji yeyote toka aanze kutumia jf hajawahi kupigwa ban?
Vipi wazee wenzangu kuna ambaye hajawahi kukutana na rungu la huyo mod mwenye kupigapiga ban bila kosa?au kuna mtumiaji yeyote toka aanze kutumia jf hajawahi kupigwa ban?