[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bakuli tena na pesa ilivyo adimu! Labda uombe kibarua cha ukonda wa ndege au mfanya usafi ndani ya ndege.
Ndiyo. Wenye mioyo ambayo haiwezi kuhimili turbulent weather hususan wanaosaidiwa mioyo yao na valve artificial.Naomba kujua kama kuna watu hushauriwa na madaktari wasipande ndege mara kwa mara au kusafiri na flight za masafa marefu bila kutua na kupumzika kwa muda(non-stop flight).
Kwa yoyote aliepanda ndege bila shaka atakuwa na experience ya usafiri wa ndege hasa wakati wa kupaa na kutua ukiachana na turbulence zinazotokea ikiwa hewani kutegemeana na hali ya hewa au ndege ikipita katika mawingu mazito (Cumulonimbus Cloud).
Nauliza swali hili kwsababu fulani fulani ambazo sio lazima niziweke hapa.
Mmh, pasco uliwekewa mwaka gani.?!Mkuu Salary Sleep, mimi ni mmoja wapo, nimefungiwa kifaa kinachoitwa pain implant, kiko kama pace maker za wagonjwa wa moyo, kifaa hicho ni cha chuma, hutumia nguvu ya elecromagnetic kukiendesha, ukipita kwenye mazingira yoyote yenye high electric currency, au au high voltage, umeme mkubwa, unaproduce, electromagnetic waves ambazo zinaweza kuingiliana na hiyo implant, hivyo unashauriwa kuepuka kupanda lift, na badala yake utumie ngazi, ukipita kwenye zile metal detectors zinapiga kelele.
Watu wote wenye metal implants pia wamepewa medical card, ili kuonyesha kwenye security check points. Vifaa hivi havina tatizo lolote kusafiri navyo kwenye ndege, ila tahadhari ni kwa ndege za safari za masafa marefu, likitokea tatizo angani mwanzo wa safari, hakuna medical attention kwenye ndege ku reset hiyo pacemaker, hivyo kama tahadhari tuu kama za mwanamke mja mzito, usisafiri safari za masafa marefu sana!.
Na sio tuu safari za masafa marefu, hata raundi, unashauriwa usiende raundi nyingi!.
Zaidi ya hapo hakuna tatizo lolote!.
Pasco
Mmh, pasco uliwekewa mwaka gani.?!
inawekwa kupenyeza copper cables kwenye brain na spinal cord ku block transmission ya phantom pain isiwe transmitted kwenye body parts. Implant hiyo inaitwa neurostimulator implant. Inatengezwa US, hapa Africa ilikuwa inaweza kuwekwa South Africa tuu zamani hizo, lakini sasa tumeendelea kama tunaweza kufanya transplant, open heart surgery na neuro surgery, then pia tunaweza kufanya neurostimulator implant surgery.Pain implant kinawekwa kwenye sehemu gani ya mwili? Na kuna hospitali nchini zinazoweka hivyo vifaa?
Ni kweli hili la kusaidiwa linategemea tabia binafsi ya mke, self control yake na sex drive, kama drive ni kubwa, na akawa ni kutoka zile tribes ambazo wanawake wao wako loose, huwezi kuzuia lazima usaidiwe! .Hapo kwenye raundi na wadada wa siku hizi si kusaidiwa nje nje?
Mwaka 2008 katika hospitali ya Apollo nchini India.Mmh, pasco uliwekewa mwaka gani.?!