Hivi kunafaida gan?

Mapi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
6,849
Reaction score
2,739
Kunawatu wanameza waschokula, wapo katka makundi haya. 1. Anaangalia chakula huku akijshbsha kwa mawazo. 2. Anaangalia mtu anaekula chakula huku yeye anashba...hivi faida kubwa hasa n nin? Ni fahar ya macho? La hasha! Kwan mtu huyu ananjaa ndo maana anakiangalia chakula. Shda yake ni nin hasa? Kula ama? Bandugu, na bauliuzia hawaaaa...wanaokesha madirshan mwa vyumba vya watu, nyumba za wageni,na waleeee kwenye magar, maofsini na maeneo mengne. Hujawafaham tuuu...Haoo WAPIGA CHABO
 
Kawaulize wao, JF hakuna wapiga chabo usitushushie hadhi!
 
hahahaha Yummy, inamana jf hakuna binadam?
 
Last edited by a moderator:
HIzi ndizo post za kupigwa ban...
 
King Kong III,ngoma nyngne za kimakonde wakat wewe mchaga, lazma wakushtukie kwamba umerukia dundo
 
Last edited by a moderator:
GEORGEallan, sidhan kama wote wanaofundsha histor walkuwepo wakat yanatokea.
 
Last edited by a moderator:
leroy! Hivi ni post au ni ID ndo znapgwa ban?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…