Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Na hao wa kwenye picha za X walijifunzia wapii???!!!
 
Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.
Wanatuchanganya
 
Wameiga beberu
 
Kha! binti kiziwi kumbe haya mambo ya kunyonyana hovyo yalianza kitambo hivi!!
 
Mkuu uhai huna dhamana nao,jiachie tu.unaweza kujibanabana halafu wala usidumu.
 

We hunyonyi mkuu!? Au unataka kumpa Maua yake huyo muanzilishi/mgunduzi.
 
Kuna mpemba alikuja bara kwenye kambi ya Uvuvi,akawa anatoka na madada poa, wakamfanyia hayo mambo mamboz!
Siku aliyorudi Pemba akataka kuingiza mchi kwenye mdomo wa mkewe,mkewe akamuuliza mambo gani tena haya!?
Mpemba akajibu "Wanawake wa bara huinyonya yote hii zikabaki koookwa tu!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…