Hivi "kupiga ngenga" maana yake ni nini?

Hivi "kupiga ngenga" maana yake ni nini?

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Nlisikia iyo sentensi kwenye nyimbo ya harmonize inaitwa "kushoto kulia" Harmonize alisema "sipigi ngenga, pesa ninayo", sasa najiuliza kupiga ngenga maana ake ni nini?
 
Wewe utakuwa umezaliwa baada ya mwaka 2000 kupanda juu.
Huu msemo ulitumika sana miaka ya nyuma na ulianzishwa na wasanii enzi za akina Juma nature na Zay B,Sister P.
Itakuwa ndio ulikuwa unazaliwa kipindi hicho
 
Mie mwenyewe hata sikumbuki Kama nishalisikia hilo neno!
 
Nlisikia iyo sentensi kwenye nyimbo ya harmonize inaitwa "kushoto kulia" Harmonize alisema "sipigi ngenga, pesa ninayo", sasa najiuliza kupiga ngenga maana ake ni nini?
"wamejaa roho mbaya , ngenga na chuki tu "Juma Nature
 
Back
Top Bottom