bana ni mfumo wa life tu sa tufanyeje! Mi mwenyewe kuna sugarmaza mmoja hivi jirani na home alianza leta zile hizi nini!nini mara kabaa nkajaa king wkt huo nlikuwa 3rd yr chuo dah alikuwa ananitoa kimtindo boom likikata sina wasi kanihudumia mbaya uzuri wake alikuwa hana wivu ili mradi akinihitaji nipatikane, afualikuwa anajali sana yani care ya ukweli sio hivi videmu vyetu mara vinaleta kibesi ingawa alikuwa amenizidi alikuwa ananiheshimu sana hata nikikosea ananielekeza kwa upole. Sa fikiria mkwanja navuta, gemu napewa, na bado narespect napata kuna raha ka hiyo. Ingawa sa hv siko naye ila hata kazi ni yeye kaniunganishia kwan nlikuwa cmjui yeyote ye ndo kafanya mambo hata kudrive ni yeye kanifundisha kwa gari yake. So samtym hawa masukari mama wanasaidia sana vijana na kumbuka wanafanya hivi wengine sababu ujanani hawakupata hivi vitu au waume zao wanazingua na wao ni binadamu wanahitaji so msiwachukulie negative