Hivi kuwahi kufika kileleni kunasababiswa na nini?

Alwayz on top

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
706
Reaction score
268
Wadau nipen ushauri huwa najisikia vibaya sana kuwahi kufika kileleni nifanyeje hii hali iishe au nichelewe kupizz? nipen njia za kuchelewa
 
na mtu kuwa mpya, miili ikizoeana inaisha.
 
tembelea dinahicious utajifunza mengi!
 
Physiological problem. Ejaculation unaweza kuicontrol kaka, jaribu pitia post mbali mbali na google co tatizo kubwa, utalisovu tu
 
Nachukia sana nikiona maswali general kama haya.Unafikiri sababu ipo moja tu?
 
Wadau nipen ushauri huwa najisikia vibaya sana kuwahi kufika kileleni nifanyeje hii hali iishe au nichelewe kupizz? nipen njia za kuchelewa[/QUOTE
Jina lako litakuwa tatizo,badilisha style
 
Toa maelezo yako yanyooke kuwa huwa inakuwaje hiyo hali. Kama unaona kujieleza hapa haiwezekani sbb watu wengi wanaona aibu juu ya matatizo yao basi waweza kuniandikia kwa ushauri zaidi. Email: healthwealthfirst@gmail.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…