Hivi kuwasha ukikuachia kinachofuata ni nini?

Hivi kuwasha ukikuachia kinachofuata ni nini?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Nazungumzia kama vile umegusa upupu au mmea au mdudu yeyote anayewasha halafu ukaamua kuwa katili kwa kutojiwasha. Nini kitakutokea?!!!

Karibuni kwa michango🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom