Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Nazungumzia kama vile umegusa upupu au mmea au mdudu yeyote anayewasha halafu ukaamua kuwa katili kwa kutojiwasha. Nini kitakutokea?!!!
Karibuni kwa michango🙏🙏🙏
Karibuni kwa michango🙏🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo kunasehemu lazima uguse?Pole mkuu inategemea huyo mdudu amekugusa wapi
Maada zingine kama za FBNazungumzia kama vile umegusa upupu au mmea au mdudu yeyote anayewasha halafu ukaamua kuwa katili kwa kutojiwasha. Nini kitakutokea?!!!
Karibuni kwa michango[emoji120][emoji120][emoji120]
F2 wamemaliza pepa.Maada zingine kama za FB
na akiguswa alafu akijikaze asiwashwe ajiandae kutekenywaKwaiyo kunasehemu lazima uguse?
Michango mingine kama FBMaada zingine kama za FB
Kweli?!!! Kwahiyo muda si mrefu nyie f2 mnaenda kuanza paper (annual), sio?F2 wamemaliza pepa.
nenda jukwaa la great thinkers, hili ni jukwaa la jokes kwa hiyo thread ipo sehem yakeMaada zingine kama za FB