Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Millard kubaki clouds ni sahihi kimkakati...Hivi kwa Brand aliyonayo Millard Ayo anastahili kubaki chini ya Clouds ?View attachment 2826154
mmhMillard kubaki clouds ni sahihi kimkakati...
Maana ni Daraja analotumia kukuza audience mpya kila siku kwenye platforms zake zote...
Anaweza asiwe analipwa Vile unavyofikiri!...(Na hili nna uhakika nalo!)
Na pengine yeye akawa anailipa clouds kwa baadhi ya segments ambazo ataona zinamboost zaidi... Kwenye Channels zake.
Hayuko pale kwa ajili ya Salary... Na huwezi kumtoa hapo kumpeleka Azam, BBC ama kwingineko...!
Maana brand yake iko na inaishi kupitia Amplifaya! On Clouds Media Group (CMG)
Hii ndio maana halisi ya displineHivi kwa Brand aliyonayo Millard Ayo anastahili kubaki chini ya Clouds ?View attachment 2826154
Kusaga alishasema kuwa millard ni business partner wake kwa sasaHivi kwa Brand aliyonayo Millard Ayo anastahili kubaki chini ya Clouds ?View attachment 2826154
Asipokuelewa itakuwa amerogwa.Millard kubaki clouds ni sahihi kimkakati...
Maana ni Daraja analotumia kukuza audience mpya kila siku kwenye platforms zake zote...
Anaweza asiwe analipwa Vile unavyofikiri!...(Na hili nna uhakika nalo!)
Na pengine yeye akawa anailipa clouds kwa baadhi ya segments ambazo ataona zinamboost zaidi... Kwenye Channels zake.
Hayuko pale kwa ajili ya Salary... Na huwezi kumtoa hapo kumpeleka Azam, BBC ama kwingineko...!
Maana brand yake iko na inaishi kupitia Amplifaya! On Clouds Media Group (CMG)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mavoco kutoka kufanya show London mpk vijijini uko na kina dj misomiso mzeee unapigajee hapooo..Nyiny ndio mulimshaur mavoco atoke WCB mwisho wa siku munamcheka kufanya show vijijin , ila ndy akili za kibongo akiona kuna sehemu unanufaika basi utaskia ooh unanyonywa hapo jitafutie mwenywe ukithubutu tu yeye ndiyo wa kwanza kukusemanga.