Hivi kwa hili nastahili nini kisheria

Hivi kwa hili nastahili nini kisheria

ANDREAS SON

Senior Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
108
Reaction score
46
Nimekuwa mwajiliwa katika halmashauli kama muuguzi kwa muda miaka mitatu baada ya hapo niliacha kazi kwa kuandika barua kwa sababu zifuatazo kwanza halmashauli kuamua kusimamisha mishahara ya watumishi bila taarifa wala sababu ya msingi,halmahauli mkutofuata utawala wa kisheria kwamfano kutopandiha
 
Nimekuwa mwajiliwa katika halmashauli kama muuguzi kwa muda miaka mitatu baada ya hapo niliacha kazi kwa kuandika barua kwa sababu zifuatazo kwanza halmashauli kuamua kusimamisha mishahara ya watumishi bila taarifa wala sababu ya msingi,halmahauli mkutofuata utawala wa kisheria kwamfano kutopandiha

hustahili chochote kisheria wewe sababu hata shida yako huiji. ignorance has no defence!
 
mshahara wako ulisimamishwa katika kipindi cha ukaguzi wa vyeti na cheti chako kilikuwa na walakini, wakati uchunguzi juu ya uhalali wa cheti chako unaendelea wewe uliamua kuandika barua ya kuacha kazi, kabla barua yako haijajibiwa wewe ulitoweka kazini bila taarifa yeyote..sasa basi ukitaka zaidi ya haya nenda mahakamani ukapate haki yako kimsingi
 
kila penye haki pana fidia hivyo kama unahisi haki yako imevunjwa jua fidia utapewa ila kumbuka tu kuandika barua ya kuacha kazi haikuwa sahihi bali ulitakiwa kufuata utaratibu ili ulipwe mishahara yako yote pia kabla ya kuacha kazi ungeomba ushaurikwanza
 
sheria ya ajira na mahusiano katika kazi imetoa mwanya kwa mfanya kazi ambaye mwajiri wake anatengeneza mazingira magumu kwa mfanyakazi kiasi kwamba hawezi kuendelea na kazi kupeleka lalamiko CMA kana kwamba ameachishwa kazi kinyume na sheria. hivyo wewe unatakiwa kufungua shauri katika baraza la usuruhishi au CMA. kama unashinda katika baraza hilo haki zako zote utarudishiwa ikiwa ni pamoja na mishahara yako yote toka ulipoacha kazi hadi sasa, pia utarudishwa kazini na stahiri zingine....
 
Back
Top Bottom