Kilemachocho
JF-Expert Member
- Feb 19, 2016
- 560
- 365
Drogba kuna dada alijipenyeza hapo hadi hadi wakaduu na hali wachezaji hawatakiwi kufanya hiyo kitu wanapokuwa kambini
hahah nimuunganishe hata nilikuwa najua huo mlango wa hiyo hoteli sijui inaitwa kempsiki sijui Kilimanjaro Hotel, yaani na mie nilimshangaa tu amepenya hadi huko! ni miaka ilee ya 2009/2010 sio siku za karibuni sanaAhahah mkuu mbna huo ubuyu hatukuupata au ww ndo ulimuunganishia.........
Ilikua mbuzi au kuku mkuu?Hawa cjui wanabania nakumbuka Didier Drogba alipikuja Tz alikula mbuzi mzma
Ilikua mbuzi au kuku mkuu?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hawa cjui wanabania nakumbuka Didier Drogba alipikuja Tz alikula mbuzi mzma
Maisha yanaenda kasi sana, leo chura wanadaiwa hela ya vitafunio na zahera😂😂😂Sasa nimejua kwanini Simba alikufa Simba sio wa kula chapati jamani njooni Yanga tuwaonyeshe namna ya kupangilia msosi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Maisha yanaenda kasi sana, leo chura wanadaiwa hela ya vitafunio na zahera[emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaa haaaaa ukuje hukuSasa nimejua kwanini Simba alikufa Simba sio wa kula chapati jamani njooni Yanga tuwaonyeshe namna ya kupangilia msosi