Jambo hili linanifikirisha sana hasa nikifikiria wale wanaokula 5 halafu inawasajili kama wachezaji bora huku wanapotoka wanaoneka hawafai.
Kitendo hiki cha nyuma mwiko sio kigeni kwenye ligi yetu.
Unaweza kuta mchezaji akakubali kulipwa mshahara mdogo sana utopolo ila anaifia timu wakati kuna wachezaji wa timu pinzani wakilipwa vizuri zaidi ila bado wanashawishiwa kucheza chini ya kiwango mradi tu nyuma mwiko abaki na misifa.
Kama mlidhani hawa jamaa ni wa kuchekea basi shitukeni.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kitendo hiki cha nyuma mwiko sio kigeni kwenye ligi yetu.
Unaweza kuta mchezaji akakubali kulipwa mshahara mdogo sana utopolo ila anaifia timu wakati kuna wachezaji wa timu pinzani wakilipwa vizuri zaidi ila bado wanashawishiwa kucheza chini ya kiwango mradi tu nyuma mwiko abaki na misifa.
Kama mlidhani hawa jamaa ni wa kuchekea basi shitukeni.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app