Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijui labda kwenye katiba yao hakuna nafasi ya waziri mkuuKwa kawaida rais anapopatikana na kuapishwa huwa kisheria anatangaza baraza la mawaziri,
Lakini nchini kenya mpaka sasa sijawahi kusikia jina au uteuzi wa waziri mkuu je mawaziri wengine waloteuliwa wanasimamiwa na nani
Katiba bora ambayo kila siku inaongoza gape kati ya masikin na tajiri?kila kitu (majukumu) kimeainishwa kwenye katiba.
katiba ndio usukani unaoelekeza nani atafanya nini kwa nani na kwa mipaka gani na akienda kinyume atafanywa nini na nani.
NOTABENE: pamoja na hilo, katiba yao ni miongoni mwa katiba BORA duniani. maajabu hayo
Waziri mkuu wa kwanza wa Kenya alikuwa Mzee Jomo Kenyatta mwaka wa 1963-64. Sasa sielewi tunaiga vipi vitu ambavyo tulikuwa navyo hapo awali.Alikuwepo zaman alikuwa anaitwa raila odinga lakin kwa sasa hawana Ndo hiyo BBI ambayo yameiga tz wanataka kuweka nafasi ya waziri mkuu na KUB
en.m.wikipedia.org
Lakini mawaziri wengine wapo sasa baraza lao linaongozwajekila kitu (majukumu) kimeainishwa kwenye katiba.
katiba ndio usukani unaoelekeza nani atafanya nini kwa nani na kwa mipaka gani na akienda kinyume atafanywa nini na nani.
NB: pamoja na hilo, katiba yao ni miongoni mwa katiba BORA duniani. maajabu hayo
Alikuwepo zaman alikuwa anaitwa raila odinga lakin kwa sasa hawana
Ndo hiyo BBI ambayo yameiga tz wanataka kuweka nafasi ya waziri mkuu na KUB
Sawa, lkn kwa sasa na katiba yenu ya juzi juzi si alikuwa hayupo.Waziri mkuu wa kwanza wa Kenya alikuwa Mzee Jomo Kenyatta mwaka wa 1963-64. Sasa sielewi tunaiga vipi vitu ambavyo tulikuwa navyo hapo awali.![]()
Prime Minister of Kenya - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Sawa, lkn kwa sasa na katiba yenu ya juzi juzi si alikuwa hayupo. So you didnt want it, then you thought twice you wanted it back.Mbona kama unapata shida design.
Fact.Waziri mkuu wa kwanza wa Kenya alikuwa Mzee Jomo Kenyatta mwaka wa 1963-64. Sasa sielewi tunaiga vipi vitu ambavyo tulikuwa navyo hapo awali.![]()
Prime Minister of Kenya - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Comment niliyoinukuu. Sioni chochote hapo ambacho kinahitaji maelezo ya ziada.Alikuwepo zaman alikuwa anaitwa raila odinga lakin kwa sasa hawana Ndo hiyo BBI ambayo yameiga tz wanataka kuweka nafasi ya waziri mkuu na KUB
The president and in his absence his deputy chairs cabinet meetings.However through an executive order the President can appoint one as is the case right now.Fred Matiang'i is CS internal security but also chairs national development coordination implementation and communication cabinet committee composed of all CSes.Kwa kawaida Rais anapopatikana na kuapishwa huwa kisheria anatangaza Baraza la Mawaziri lakini Kenya mpaka sasa sijawahi kusikia jina au uteuzi wa Waziri mkuu. Je, mawaziri wengine wanaoteuliwa wanasimamiwa na
nani?