kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Kuna kitu huwa kinanistaajabisha kidogo hapa bongoland hasa kuhusu jamii ya watu wanaotuzunguka.
Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii inaanza kukuona kama mtu unaeringa na kujisikia.hivi kwani ni lazima watanzania wote tufuatilie simba na yanga? kwa mfano mtu anakuuliza hapa bongo unashabikia timu gani ya mpira unamjibu vizuri tu kuwa siko interested na soka la bongo instead huwa nashabikia Manchester United au Real Madrid basi anaanza kukuona eti unaringa.
Mwingine anakuuliza eti Kati ya Diamond na Ali kiba unamkubali nani unamjibu sifuatilii kivile mziki wao badala yake me nafuatilia mziki wa marekani huko nae atakuona unajisikia.
kuna mwingine juzi kati kaniomba lifti kwenye subaru yangu ,so njia nzima me nilikua kimya, yeye akawa kama anataka kunipeleleza kunijua habari zangu me nikawa namjibu short tu huku muda mwingi naongea na simu,kaenda kutangaza mtaani eti me blazamen naringa sana na Kigali changu cha mkopo.
Dah, hivi kwa nini watanzania ukiwa against nao tu basi unaonekana unaringa na kujisikia?
Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii inaanza kukuona kama mtu unaeringa na kujisikia.hivi kwani ni lazima watanzania wote tufuatilie simba na yanga? kwa mfano mtu anakuuliza hapa bongo unashabikia timu gani ya mpira unamjibu vizuri tu kuwa siko interested na soka la bongo instead huwa nashabikia Manchester United au Real Madrid basi anaanza kukuona eti unaringa.
Mwingine anakuuliza eti Kati ya Diamond na Ali kiba unamkubali nani unamjibu sifuatilii kivile mziki wao badala yake me nafuatilia mziki wa marekani huko nae atakuona unajisikia.
kuna mwingine juzi kati kaniomba lifti kwenye subaru yangu ,so njia nzima me nilikua kimya, yeye akawa kama anataka kunipeleleza kunijua habari zangu me nikawa namjibu short tu huku muda mwingi naongea na simu,kaenda kutangaza mtaani eti me blazamen naringa sana na Kigali changu cha mkopo.
Dah, hivi kwa nini watanzania ukiwa against nao tu basi unaonekana unaringa na kujisikia?