Hivi kwa nini maji yakiingia ndani ya sikio yanatoka yakiwa na moto sana

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Yaani tofauti na ile ngoma ndani ya sikio kuna kitu gani kingine maana nilikuwa naoga maji yakaingia ndani sikioni ikabidi mle bafuni nichezeshe kichwa ile style ya wanaume mapanga shashaaa ya TMK yale maji yametoka yana moto sana utadhani humu sikioni ndani kuna water heater ya 2000w.

Hivi nini kimefanya yapate moto kiasi hicho kwa muda huo usiopungua sekunde 5 tuu.
 
Kama ni hivyo ile pamba stick wakati wa kuchokonoa hivyo si ingekuwa inawakia huko moto?
kwa mantiki hiyo n kwamba, maji ya moto yanaweza kuchoma hata nyumba (soma vzr mada)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…