Hivi kwa nini Mo hakuonekana kwenye harusi ya Manara?

please be a man...heshimu utu mpira sio Uadui
..Hii angeisema Mzungu woote mngepiga mayowe ya ubaguzi...Huu unaofanya ni ushamba..kuipenda Simba au Yanga haina maana utukane.
Hujui Utopolo mnatuitaje sisi Simba? Vumilia, mkianza kutukana mvumilie majibu yanayulingana au kuzidi matusi yenu. Kula limao utulize munkari,huu mchezo hauhitaji hasira dada Somoe
 
Naamini wewe si shabiki wa utopolo,maana walivyo hao jamaa,hata thinking capacity yao tu inatia shaka. Si wastarabu hata kidogo.Kifupi ni haki yao kuitwa manyani,tumbiri,viti moto wabunifu wa jezi za madera
please be a man...heshimu utu mpira sio Uadui
..Hii angeisema Mzungu woote mngepiga mayowe ya ubaguzi...Huu unaofanya ni ushamba..kuipenda Simba au Yanga haina maana utukane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…