Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Taasisi nyingi za Serikali wanakuwa na namba za meza kwa jina simu za waya kama kuna tatizo lolote au mawasiliano kuweza kuwapigia.
Cha kushangaza tokea kuingia matumizi ya simu kiganja kama simu hizi za mezani zimekuwa bure au kero, yaani unaweza kupiga siku nzima wala kutopokelewa wakati zimewekwa.
Cha kushangaza tokea kuingia matumizi ya simu kiganja kama simu hizi za mezani zimekuwa bure au kero, yaani unaweza kupiga siku nzima wala kutopokelewa wakati zimewekwa.