Sawa Dada yangu nakubaliana na wewe yote uliosema, sisi wengine JF ni Furaha tupu..kama thread yangu imekukwaza nisamehe dada yangu sirudii tena
Hapana sio kuongozwa na kina mama; tena mwenyewe umesema vitu vidogo vidogo; ni kweli dialy run na vitu vidogo vidogo ndani ya nyumba ni jukumu la mama; huwezi kuja kwangu kuazima pasi nikupatie ...............utamsubiri wife ama ?
Kuna jamaa yangu mmoja wife wake kampiga marufuku kutembea hovyo baada ya kazi..
Ukipita nyumbani kwake jioni jamaa kakaa nje na watoto wife hayupo..
2. The second reason for marriage is that it is not good for a man to be alone. Genesis 2 vs. 18; at a stage in a mans life it is dangerous to be alone, why? Because a help meet is needed. God took a rib from the first Adam and created Eve, the first woman. Woman was taken out of man. So a rib was missing in man. That place becomes empty until he gets His wife. Then they become one. So every man needs His wife. The scripture said, for this cause shall a man leave and cleave to His wife. Meaning there is an Eve for every Adam and an Adam for every Eve. There is a woman for you and there is a man for you. I will explain on this later as we proceed.
mwanamke ni sawa na katibu mkuu na ndo mweka hazina, nyumba zote ambazo mama anamadaraka ndo zina maendeleo. ni kweli kuwa baba ni kichwa cha nyumba lakini mama ndo shingo na kama shingo sio imara kichwa hakiwezi kuzunguka wala kufanya kazi sawasawa.
Kuna vichwa vingine havihitaji shingo...........mathalani kichwa cha treni.....bila hicho hakuna safari lakini hakina hiyo shingo....na vipo vichwa vingine vingi tu havina shingo.....sintovitaja kwa misingi ya kimaadili hapa