Hivi Kwa nini small house imekuwa common hasa kwa jamii ya kitanzania?

Hivi Kwa nini small house imekuwa common hasa kwa jamii ya kitanzania?

zimkaya

Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
8
Reaction score
0
Small house inamadhara ganii kwenye mahusiano ya wanandoa????????????????????????????????// Mawazo na ushauri please
 
Small house inamadhara ganii kwenye mahusiano ya wanandoa????????????????????????????????// Mawazo na ushauri please
1. utasahau familia yako............
2. We mkeo akimegwa na mwingine utajisikiaje...........???
3. Wengine wana visasi vibaya................... ukishamkoleza atakuulia mke na watoto wako ili uhamie kabisa kwake........
4. etc............
 
Small house inamadhara ganii kwenye mahusiano ya wanandoa????????????????????????????????// Mawazo na ushauri please

Ni utamaduni au mila mbovu tu ya kibongo!!!

Ni moja ya sababu kuu ya watu kuukwa ule ugonjwa usio na dawa hadi sasa.
kwa hiyo, ndoa na familia inaathirika kwa vile bread winner inafika wakati hamudu kiafya.

pia ndio sababu kwa nini watz wengi tunakufa kama kuku...
huku tukisema ajali kazini......ni ushujaa nzi kufa kidondani.
 
Small house inamadhara ganii kwenye mahusiano ya wanandoa??????????????????????// Mawazo na ushauri please

Smallhouse ziko za aina mbili, ya kwanza ni uhusiano na mke wa mtu na ya pili ni uhusiano na mwanamke wa nje asiyekuwa na mume.

Smallhouse zinakuweko kwa sababu utamaduni wa Kiafrika au niseme asilimia kubwa ya wanaume wanapenda kuwa na nmwanamke zaidi ya mmoja at a time.

Hiyo ni nature yao hata mukibishia.
 
Tamaa tu hizo, hakuna jingine na nadhani family nyingi zinakuwa masikini kwa ajili hiii. Badala ya kufanya maendeleo unaweka nyumba ndogo halafu unaihudumia mbaya!!!!. mxiiiiiiiiiiiiii utakuta watoto wako hata kiatu hawana lkn nyumba ndogo inatunzwa balaaa halafu hapo hapo kuna mchizi na yeye anahudumiwa na nyumba ndogo hiyooo bureeeeeee
 
Nilishawahi kuna na demu, mwanzo sikujua kuwa ana JIBABA. lile Jibaba bana lilikuwa ni lihasibu wizara ya Maji enzi hizo. Lile Jibaba lilishaacha mke wake wa ndoa, halafu likavuta mwanamke mwingine akazaa naye watoto wawili, halafu wakati huo huo likawa na huyo demu alikuwa akisoma magogoni pale enzi hizo. mimi baada ya kugundua yule demu sasa akawa ananiambia ukweli kwamba yule jibaba ni kwa ajili ya pesa tu, na kweli yule jamaa alikuwa anahonga bwana, wakati ule wafanyakazi wa serikali mishahara haipitii benki wanapewa kwenye bahasha. jamaa alikuwa anakwenda beni anachukua hata m300 kwa ajili ya mishahara anaweka kwenye bahasha ya kila mfanyakazi kiasi cha mshahara wake, sasa kila bahasha lazima akate hapo alfu mbili tatu, mwisho wa siku anaibuka karibu na milioni mbili tatu wanagawana pale ofisi ya uhasibu, yeye akitoka hapo ni kwa yule demu anampiga na kilo tano , wanaenda baa wanakunywaaaaaaaa mpaka asubuhi. Nilipogundua hayo nikaamwambia yule demu mie siwezi endelea na wewe, akawa ananibembeleza kwa pesa za yule jamaa nilizitafuna halafu nikalala mbele. Yule Jibaba ansikia kaoa mwanamke mwingine sasa hivi na pesa imekata nasikia ni shida kw kwenda mbele tuuuuuuu pesa yote alihonga
 
lazima kuwe na nyumba ndogo kwa sababu
  • mke akizaa
  • akiwa katika siku zake
  • anachoka kwa kazi za ofisi, nyumbani na kujipendekeza zaidi kwa watoto kama vile kina baba hatuna mapenzi kwa watoto wetu
  • "nakadharika"
Kumbuka mwanamke akisha kuwa Mke lazima asiwe na mwanume mwingine sababu wanaume tuko kazini 24 hours a day seven days a week na siku 365 na robo kwa mwaka
 
Back
Top Bottom