ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Jamani vijana wengi wanavuta bange balaa.
Kwani usipovuta hukui? Halafu baadae wanajifanya eti ni kharam,sijui huwa wanaacha?
Serikali iko wapi maana vijiwe vinajulikana.
Kwani usipovuta hukui? Halafu baadae wanajifanya eti ni kharam,sijui huwa wanaacha?
Serikali iko wapi maana vijiwe vinajulikana.