May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Inatokea unakutana na posti ya maana tu tena kwenye page ya Mtu wa heshima, ila unapoenda upande wa comment unakutana na comment isiyohusiana kabisa na kilichopostiwa na mbaya zaidi ni comment ya matusi.
Hivi Mwenye page haoni kama hilo linawakwaza wale wanaomfuata? Hawana namna ya kuziondoa?
Hivi Mwenye page haoni kama hilo linawakwaza wale wanaomfuata? Hawana namna ya kuziondoa?