fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 738
- 1,017
Mapenzi ni hasara tupu...
Za mida...
Nimekua niko namawazo sana hii siku sijui labda ni kwa sababu sijaona sms ya nimpendae ikiji display.....
But namaswali machache...
Ivi kwa nini wanaume wengi huwa tuko tiari kuwa spare tier sana
Nikimaanisha kuwa vijana wengi tuko tiyari kuwa na mke wa mtu au mpenzi wa mtu kuliko wao walivyo tiyari kuwa na mme wa mtu?
Maana niko na mpwa flani hapa anakomaa na manzi ya msela mno na anajua kua ni mchumba wa mtu!?
Je wadada bado mnapinga amjatoka ubavuni mwa wajuba?
Za mida...
Nimekua niko namawazo sana hii siku sijui labda ni kwa sababu sijaona sms ya nimpendae ikiji display.....
But namaswali machache...
Ivi kwa nini wanaume wengi huwa tuko tiari kuwa spare tier sana
Nikimaanisha kuwa vijana wengi tuko tiyari kuwa na mke wa mtu au mpenzi wa mtu kuliko wao walivyo tiyari kuwa na mme wa mtu?
Maana niko na mpwa flani hapa anakomaa na manzi ya msela mno na anajua kua ni mchumba wa mtu!?
Je wadada bado mnapinga amjatoka ubavuni mwa wajuba?