Hivi kwa nini wanywa bia wengi wana vitambi na wanywa gongo wamekonda sana?

Hivi kwa nini wanywa bia wengi wana vitambi na wanywa gongo wamekonda sana?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Wakuu eti ni kwa nini 80% ya wanywa bia wanavitambi sana wakati walevi wenzao wanaokunywa gongo 80% ya wanaokunywa gongo wamekondeana mpaka wanatisha?

Wakuu kwa nini kuna tofauti hii?
 
Wengi wao wanakula nyama sana na asilimia kubwa ya tumbo ni mavi
 
wanywa bia siku zote ni watu walioridhika na maisha.. wanahela na kazi nzuri , hivyo kitambi hakikwepeki!

Wanywa gongo ni watu maskini na bahiri hivyo kukonda ni kawaida kwao kwani hawali vizuri kama wanywa bia!

Cc: Tusker Bariiiidi
 
Last edited by a moderator:
wanywa bia siku zote ni watu walioridhika na maisha.. wanahela na kazi nzuri , hivyo kitambi hakikwepeki!

Wanywa gongo ni watu maskini na bahiri hivyo kukonda ni kawaida kwao kwani hawali vizuri kama wanywa bia!

Cc: Tusker baridiii

aaaahaaa mambo ya moja moto na moja baridi
 
Last edited by a moderator:
wanywa bia siku zote ni watu walioridhika na maisha.. wanahela na kazi nzuri , hivyo kitambi hakikwepeki!

Wanywa gongo ni watu maskini na bahiri hivyo kukonda ni kawaida kwao kwani hawali vizuri kama wanywa bia!

Cc: Tusker baridiii


Kumbe kuwa na Kitambi ni dalili kuwa una hela na kazi nzuri? Nilikuwa sijui...!!
 
Last edited by a moderator:
wanywa bia siku zote ni watu walioridhika na maisha.. wanahela na kazi nzuri , hivyo kitambi hakikwepeki!

Wanywa gongo ni watu maskini na bahiri hivyo kukonda ni kawaida kwao kwani hawali vizuri kama wanywa bia!

Cc: Tusker baridiii

Unasema;
"Wanywa gongo ni masikini na ni wabahili"

Sasa masikini atakuwaje bahili wakati hana kitu? Anabania nini?!
 
Last edited by a moderator:
Unasema;
"Wanywa gongo ni masikini na ni wabahili"

Sasa masikini atakuwaje bahili wakati hana kitu? Anabania nini?!

wapi ulipo ambiwa maskini ni mtu hasiye na kitu?...maskini ni mtu aliye na kitu hila hakimtoshelezi! We unazani watu wanakunywa gongo kwa kupenda?
 
wapi ulipo ambiwa maskini ni mtu hasiye na kitu?...maskini ni mtu aliye na kitu hila hakimtoshelezi! We unazani watu wanakunywa gongo kwa kupenda?

Umeanza kujikataa wewe mwenyewe?! Hahahaaa! Haya potezea mkuu
 
wapi ulipo ambiwa maskini ni mtu hasiye na kitu?...maskini ni mtu aliye na kitu hila hakimtoshelezi! We unazani watu wanakunywa gongo kwa kupenda?

Una uhakika na hiyo definition uliyoitoa?
 
Bia it has got a lot of carbohydrates.pia inaongeza appetite.gogo inakata appetite.inadestroy digestive enymes.hamu ya kula inapotea.lazma mteja akonde tu
 
Chupa moja ya gongo ni sawa na kreti kumi za bia hasa chang'''aaaa!!!!
 
Bia ina alcohol ya wastani wa 5% wakati gongo ina alcohol ya wastani wa 70%! Kwa hiyo chupa moja ya gongo ni sawa na chupa 14 za bia in terms of alcohol. Hapana chezea gongo wewe!
 
mkuu unasema kweli? ngoja walevi waje hapa kina miss chagga na faizy foxxy
bia ni ngano chapati sita kwa chupa moja halafu ile unakunywa umerelax huku unarudhia na nyago za nyama ya mbuzi au kiti cha moto ,... full tabasamu.... wanywa gongo wanakunywa huku wakiwa kma wapo kwenye mbio za mita mia moja hawatuliii kabisa .. halafu kwenye gongo hamna nyama wala kurelax..
 
Back
Top Bottom