Hivi kwa nini wanywa bia wengi wana vitambi na wanywa gongo wamekonda sana?

gongo inakausha jamani ohoooooo!!!!!! bia inastawisha ila mwisho wa siku kulewa ndo kule kule.


ila walevi wa bia hawishi kujikojolea

\
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…