Kama kuna chama ambacho kimepata nafasi ya uwakilishi zaidi ya CCM na CUF basi hicho chama ndio kitakachokuwa cha upinzani.
Labda swali jingine ni kwamba serikali ya CCM na CUF watatekeleza sera za chama gani?
Demokrasia na ushindani umekufa rasmi znz tangu mwafaka Cuf na ccm watasaidiana kupinga upinzani. Labda chadema ikishakaa sawa kule zenji wasubiri kdogo tu!