feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Habari ndugu zangu,bila shaka wazima.
Niende kwenye bandiko la swali langu, TANESCO hivi mnajua kua mna boa sana? Haiwezekani kwa siku mnakata umeme zaidi ya mara 30 mnataka kuunguza vitu ama vipi?.
Wakuu nilikuja mikwambe Jumanne kuna kaka yangu ana umwa nikawa nimekuja kupoa nae ,ajabu sana umeme unakatika yaani kila saa kama jana usiku ndo ilikua too much wamekata zaidi ya mara 10 na zaidi hapa ninapoandika toka asubuhi washakata zaidi ya mara 5 hii imekua kero sana hata bro anaona kodi ikiisha ahame maana kero kubwa sana.
Hili shirika linaitia aibu ,liseme kama kuna mgao au la.
Niende kwenye bandiko la swali langu, TANESCO hivi mnajua kua mna boa sana? Haiwezekani kwa siku mnakata umeme zaidi ya mara 30 mnataka kuunguza vitu ama vipi?.
Wakuu nilikuja mikwambe Jumanne kuna kaka yangu ana umwa nikawa nimekuja kupoa nae ,ajabu sana umeme unakatika yaani kila saa kama jana usiku ndo ilikua too much wamekata zaidi ya mara 10 na zaidi hapa ninapoandika toka asubuhi washakata zaidi ya mara 5 hii imekua kero sana hata bro anaona kodi ikiisha ahame maana kero kubwa sana.
Hili shirika linaitia aibu ,liseme kama kuna mgao au la.