Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Nakumbuka Kibanga alivyompiga Mkoloni, nakumbuka Anduje alikuwa mfupi, nakumbuka Baba Mmoja alivyorudi toka Safari ya Mbali...., Nakumbuka yule dogo mtesa wanyama alivyonyooshwa na Jogoo, vilevile namkumbuka Kimweri na ndoto zake, nakumbuka yule ndege mzuri mwenye rangi za kupendeza. bila kusahau Mbichi zile alizozikataa Sungura.....
Ila for the life of me.., sikumbuki kabisa kwanini Brown alishika Tama...
Je mnaweza kunikumbusha kwanini Brown alishika Tama ?
Ila for the life of me.., sikumbuki kabisa kwanini Brown alishika Tama...
Je mnaweza kunikumbusha kwanini Brown alishika Tama ?