Hivi kwanini CHADEMA mpo wanyonge sana?

Hivi kwanini CHADEMA mpo wanyonge sana?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
You are daydreaming. Kwakuwa wewe upo unabeba box basi unajaribu ku incite watu wafanye kuandamana na kuuwawa. What use would that be?

Kuna njia nyingi za kupigania haki na hata hizo unazosema za mtandao zinafanya kazi. Tunataka tufike wote bila kumpoteza mtu.

Until then, shut you trap.
 
Now await a barrage of insults...umewatibua mwenyewe 😁😁😁
Nyani Ngabu huwa anapenda kuanziasha mada za kuwabughudhi na kuwachokonoa Chadema kwa sababu anaongeza umaarufu wake hapa na kupata wachangiaji wengi. Hapa ukitaka kila member akujue uwe unatetea kila jambo linalofanywa na serikali hata liwe na uozo namna gani. Na wapinzani hasa Chadema wabughudhi kwa vijembe na kebehi. Trust me, jina lako litakuwa maarufu sana hapa. This is a funny side of many Tanzanians, i.e. hawajui kum-ignore mtu au kitu wasichotaka au kinachowa-irritate mioyo yao.
 
Wanasema "siku tukichoka nchi haitakalika"... Wanasahau kuwa wananchi walishawapuuza
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
 
Kosa walilolifanya CHADEMA mwaka 2015 litazidi kuwatafuna katika siasa zao!

CHADEMA kuwa wanyonge ni matokeo ya walichokifanya katika mchakato wa uchaguzi mkuu mwaka 2015!

Ajenda zao muhimu ambazo ziliwafanya kutokuwa wanyonge zote walizipeleka CCM na zile ambazo ziliwafanya CCM kuwa wanyonge wakazichukua!
 
You are daydreaming. Kwakuwa wewe upo unabeba box basi unajaribu ku incite watu wafanye kuandamana na kuuwawa. What use would that be?


Kuna njia nyingi za kupigania haki na hata hizo unazosema za mtandao zinafanya kazi. Tunataka tufike wote bila kumpoteza mtu.

Until then, shut you trap.
Mbona ulikuwa unamshobokea da'Mange; kwani naye sio mbeba boksi?
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Nyani, wale wa Sauzi ni njaa ndio iliyowatuma. Suala la Zuma ilikuwa kisingizio.

Amandla...
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Kwakuwà mnatubambikia ugaidi,kwakuwa tunadai katiba mpya.
 
You are daydreaming. Kwakuwa wewe upo unabeba box basi unajaribu ku incite watu wafanye kuandamana na kuuwawa. What use would that be?


Kuna njia nyingi za kupigania haki na hata hizo unazosema za mtandao zinafanya kazi. Tunataka tufike wote bila kumpoteza mtu.

Until then, shut you trap.
Nafikiri it was a post meant to be sarcastic.

Ikilenga kuexpose unafiki na undumilakuwili wa mashabiki wa chama cha Mbowe.

Hawana misingi wanayosimamia zaidi ya kusema sema tu.

La kushangaza walikuwepo wanachadema huko zamani waliowahi hata kuvunjwa mikono wakipigania kile walichokiamini ( akina Dr. Slaa, kwa mfano).

Those were the days of Chadema where words meant actions. Lakini hata hao nadhani walistuka baada ya kugundua kuwa wenye chama chao husema wasichokimaanisha na humaanisha wasichokisema.

Wakajitenga nacho na kujisepa.
 
You are daydreaming. Kwakuwa wewe upo unabeba box basi unajaribu ku incite watu wafanye kuandamana na kuuwawa. What use would that be?


Kuna njia nyingi za kupigania haki na hata hizo unazosema za mtandao zinafanya kazi. Tunataka tufike wote bila kumpoteza mtu.

Until then, shut you trap.
We kamanda ushawahi hata kubeba bango wewe?
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Jeshi la polisi bongo liko tayari kupiga risasi za moto raia wasio na hatia kwa sababu ya kulinda watawala hata kama raia wana haki ya kuandamana.

Laiti Jeshi letu lingekuwa kweli jeshi la polisi la wananchi , basi raia wangetumia haki yao ya kidemokrasia kuandamana bila hofu ya kuuawa.

Usilinganishe jeshi la Polisi la SOuth Afrika na Bongo, Polisi wa kule hawako kwa ajili ya chama tawala, kwa hiyo siyo rahisi kutumia risasi za moto kama option ya kwanza , Ndiyo maana pamoja na uharibifu mkubwa ambao raia wa south Africa walifanya, Jeshi la Polisi halikuua watu wengi kivile, Sasa ingekuwa bongo Polisi wangekamata hata waliovaa rangi zinazofanana na rangi za chadema tu.

Kiufupi tu, Bongo tunatawaliwa na Mfumo wa Kijeshi linapokuja suala la kuichallenge CCM.
 
Tuingie mitaani ya nini wakati Mungu yuko nasi, hakuna kazi ilio onekana ngumu kama ya kumuondosha Kibwetere mkuu,lakini Mungu alitufanyia wepesi Kibwetere mkuu leo ni Historia.
 
Nyani, wale wa Sauzi ni njaa ndio iliyowatuma. Suala la Zuma ilikuwa kisingizio.

Amandla...
Sawa.

Lakini hiyo bado haiondoi ukweli kwamba CHADEMA ni waoga.

Sehemu nyingi tu duniani watu huandamana kupinga uonevu.

Hosni Mubarak maandamano ndo yaliyomwondoa madarakani.

CHADEMA wanadai wana wanachama takriban milioni 5-7.

Wako wapi kupinga mwenyekiti wao kuonewa?
 
Back
Top Bottom