Hivi kwanini chips kuku bado ni tatizo kwa dada zetu?

Hivi kwanini chips kuku bado ni tatizo kwa dada zetu?

batromayo

Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
32
Reaction score
5
Katika tafiti ndogo nilizofanya maeneo ya Ubungo maeneo ambayo kuna vituo vya tuisheni, kipindi cha likizo ya mwezi wa sita, nimegundua kwanza kuna vibanda vingi sana vya chips maeneo hayo, pili wanaume(mafataki) hawachezi mbali na wanawarubuni wanafunzi hasa waliotoka mikoani kwa kuwanunulia chipsi hafu wanawatumia baadhi ya wanafunzi wa kiume hasa wa hapa Ubungo kuwapata wasichana hao kimapenzi. Wana JF hivi hatuwezi pata suruhisho ya tatizo hili ili tuwaokoe dada zetu?
 
Katika tafiti ndogo nilizofanya maeneo ya Ubungo maeneo ambayo kuna vituo vya tuisheni, kipindi cha likizo ya mwezi wa sita, nimegundua kwanza kuna vibanda vingi sana vya chips maeneo hayo, pili wanaume(mafataki) hawachezi mbali na wanawarubuni wanafunzi hasa waliotoka mikoani kwa kuwanunulia chipsi hafu wanawatumia baadhi ya wanafunzi wa kiume hasa wa hapa Ubungo kuwapata wasichana hao kimapenzi. Wana JF hivi hatuwezi pata suruhisho ya tatizo hili ili tuwaokoe dada zetu?
Ubungo sehemu gani na shule z/ipi
 
kumbe bado kuna watu wapo kwenye ulimwengu wa chips kuku,sie wengine tunajibebea mzigo kwa movie ya Kanumba tu.
 
sasa mabinti unaowazungumzia ndio wanaopenda chips na kuku, ukitafuta suluhisho ina maana uwabadilishie menu wasipoipenda je? wao kama wanaona chipskuku inalipa kwa mapenzi wanayofanya basi acheni waendelee tu. ni utoto tu wakikua wataacha
 
Mkuu chips kuku ndo chakula cha dada zetu these days kwn wanasema wanamantain figure zao,sasa ukiwapa Ugari maharage hawataki.sasa tutawaokoa vp kwa kuwanyima wanachokipenda?ngumu hiyo.
 
kumbe bado kuna watu wapo kwenye ulimwengu wa chips kuku,sie wengine tunajibebea mzigo kwa movie ya Kanumba tu.
the the the the hehehe hii kali nitaiaply leo nshanunua movie hp nakatiza katiza ndo wametoka class
 
Back
Top Bottom