Katika mitandao iliyojaa vilaza Facebook na Instagram ni no 1 kumbe ndiyo maana viongozi wnatumiaga Twitter maana huko ni harakati ila ukitaka umbea wewe jisogeze Instagram na Facebook.
Yaani takuta mtu amepost makalio yake, hujakaa sawa mtu kamuita mwenzie jina baya.
To be honest JamiiForums ndiyo Mtandao no 1 hapa Tz kwakuwa na wasomi wenye kuandika Point.