May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Tangu niliposikia tumeingia fainali ya under 17 na Uganda nilijua tuna nafasi ya asilimia 30 tu za kushinda, na kweli tumebamizwa 3 na hii ni baada ya juzi juzi tena kupoteza fainali nyingine kwa hawa hawa Waganda.
Hata ile fainali ya kufuzu Afcon ni wazi tulipewa tu na Uganda kwa ujirani mwema na ukaribu wetu na Mzee Mu 7, na tukashangilia kama mazuzu...walahi kama ile ingekuwa ni mechi ya mmoja lazima ashinde aende tungebamizwa tu.
Hata ile fainali ya kufuzu Afcon ni wazi tulipewa tu na Uganda kwa ujirani mwema na ukaribu wetu na Mzee Mu 7, na tukashangilia kama mazuzu...walahi kama ile ingekuwa ni mechi ya mmoja lazima ashinde aende tungebamizwa tu.