Hivi kwanini haya magari ya mchanga huachwa bord juu baada ya kumwaga mchanga

Hivi kwanini haya magari ya mchanga huachwa bord juu baada ya kumwaga mchanga

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!
 
Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!
Mara nyingi magari ya mchanga yanakua yamekwaruzika rangi ndani ya body kitu ambacho hufanya trela likipata unyevu tu hutengeneza kutu..kuweka trela juu au kubinua hufanya unyevu au maji kutotuama na kutengeneza kutu ndani ya body au hilo trela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!

Sababu kuu ni kuepuka maji kutuama Na kuleta kutu maana kazi ya kokoto Na mchanga zinachubua body sana, pia ni kwa usalama Isije kuwa kuna vibaka wamelala kwenye body, mwisho wanafanya hivyo ili kujua system ya kubinua kama inashida. Asubuhi akikuta bado liko juu anajua kila kitu biyeeeee. Au sio mdau ?
 
Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!
nilishawahi kuhoji hili..
jamaa akanambia ili kuzuia wizi wa jeki ya kupiga tipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom