Labda mbinu ya kuzuia wale wanaolala kwenye magari ya watu
Acha bange dogoYanapunga upepo tu
Kama yanapunga, basi na wewe PUNGA tu!!!!!Na yenyewe Yana punga upepo tu
Kama yanapunga, basi na wewe PUNGA tu!!!!!
πππππLabda mbinu ya kuzuia wale wanaolala kwenye magari ya watu
Mara nyingi magari ya mchanga yanakua yamekwaruzika rangi ndani ya body kitu ambacho hufanya trela likipata unyevu tu hutengeneza kutu..kuweka trela juu au kubinua hufanya unyevu au maji kutotuama na kutengeneza kutu ndani ya body au hilo trela.Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!
Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!
Kwan wakilala kuna tatazo ganKuzuia mateja wasilale ndani ya hayo magari
Akifia huko bahati mbaya unajua nani atakae kuwa na kesi ya kujibu?
nilishawahi kuhoji hili..Yaani nasemea kwa haya magari yanayofanya shughuli za kubeba mchanga,kokoto,au kifusi kwenye huu mradi wa upanuzi wa badabara kuanzia kimara mwisho kwenda kibaha ukifika maeneo yao yanayopaki kulazwa baada ya kazi utakuta bord imenyanyuliwa juu (kiswahili tunasema imebinua) kama inamwaga mchanga ili ghali hamna kitu ndani na yamepangwa mstari mmoja yote na yakiwa hivyo hivyo bord juu,hivi hii ni sheria ya kampuni au ni mvinu tuu ya madereva wao wamejiwekea yakae hivyo!