assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Huyu ni 'msharika' wa chama pendwa kwa mgongo wa SUK.Nimejiuliza maswali sijapata majibu. Ado Sha kaongea bila interaction yoyote .
Ni kongamano la utu lililoandaliwa na nccr.
Sijapenda
Ndugu Mimi sina chama ila napenda hakiHuyu ni 'msharika' wa chama pendwa kwa mgongo wa SUK.
Ni vyombo vyetu vya habari tu wana uoga wa kijinga na kujipendekeza kuliko vuka mipaka, hamna hata ambaye kawatisha kwa sasa! Effects za miaka 5 iliyopita itachukua muda kidogo kuzitoa kwenye mindset za watu wengiYaani chadema inaogopeka kinoma, ccm wamepiga simu mnyika asisike hewani
Nimejiuliza maswali sijapata majibu. Ado Sha kaongea bila interaction yoyote .
Ni kongamano la utu lililoandaliwa na nccr.
Sijapenda
Ukiona hivyo ujue alikuwa anaongea utopolo mtupu,wakaona isiwe tabuNimejiuliza maswali sijapata majibu. Ado Sha kaongea bila interaction yoyote .
Ni kongamano la utu lililoandaliwa na nccr.
Sijapenda
AiseeWanaogopa wanaweza kufungiwa.
Hao kina Mnyika na Tundu Lissu, kama wana urefu hata wa centimita moja ya busara, kuliko kuendeleza mapambano na vijembe vya hapa na pale, ni bora wautumie huo mda kwenda kumpigia magoti chifu Hangaya awasaidie mtu wao atolewe. Mwenye nchi ni mwananchi, ila kuna walioshika mpini.Ndugu Mimi sina chama ila napenda haki
Tafuta hela za kutosha uangalie tv za kimataifa kama bbc, cnn, aljazira nk. Achana na hizi za kutia watu ujingaNimejiuliza maswali sijapata majibu. Ado Sha kaongea bila interaction yoyote .
Ni kongamano la utu lililoandaliwa na nccr.
Sijapenda
ITV Super Mbege.Nimejiuliza maswali sijapata majibu. Ado Sha kaongea bila interaction yoyote .
Ni kongamano la utu lililoandaliwa na nccr.
Sijapenda