Hivi kwanini kila mtu akiweka bandiko humu Jf mwisho anajihami asitukanwe!

Kwakweli tunategemea mwezi wa 8 atatoka hospital. Halafu mie nikienda Ndio anapata simu ya kuingia jf,Maana ameshauriwa asitumie simu. Kwahiyo nikienda Mimi anapata Hata dakika kumi za kuingia jf na kucheka Cheka.
Hivo anawatupia like
Ni kweli cm haifai kwa wagonjwa wa aina yake kuepusha mstuko lakini akipata za kuchekesha zitamfaa

Mwambie tunaziona mpe faraja swaiba wetu wote.
 
Jf kama shimoni kariakoo hivyo utegemee lolote
 
Hata mimi nilipokuwa nikisikia jf, nilijua ni.mahala ambapo watu huchangia hoja kwa umakini zaidi. Nilipojiunga, nashangaa wakati mwingine kuona upuuzi unaopostiwa na baadhi ya watu. Kuna wakati najiuliza: Huyu naye alikaa, nikafikiri kwa kina kabla ya kuandika hicho alichokiandika?????? Hata kama huna uhuru wa mawazo, lakini kingine vinashangaza sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli cm haifai kwa wagonjwa wa aina yake kuepusha mstuko lakini akipata za kuchekesha zitamfaa

Mwambie tunaziona mpe faraja swaiba wetu wote.
Kesho nitamuonyesha Ili akujibu yeye mwenyewe [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…