Hivi kwanini kumekuwa na wimbi la watu wengi wanaotibu nguvu za kiume ?

Demand ni kubwa sana hasa hapa Dar.
Na hizi stori tunazopeana kwenye vijiwe vyetu kila mtu anajiona ana tatiz lakini kwa upande wangu sina sababu ya kuhangaika na hayo madawa sijui uchafu wa kongo ,mara sijui ule dawa uchelewe kufika kileleni then what is next baada ya kuchelewa?
 
Kila mahari mabango yote ni dawa ya nguvu za kiume shida ni nink?

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapa wa kumlaumu ni Kikwete tu maana yeye ndiye aliyewadanganya watanzania wengi kwa ile kauli mbiu yake ya maisha bora kwa kila mtanzania. Watu walikuwa na lazy mentality kwa sababu kulikuwa na hela za kuchezea bila kufanya kazi, sasa Magu kaja kuwashikisha adabu, watu wamekuja na visingizio vya dawa za nguvu za kiume za kila aina. Kuna hii mpya ambayo imeingia wanasema inatoka Nigeria, ni mchanganyo wa unga wa mende wa kusaga uliyochanganishwa na vyura pamoja na majani ya Kinigeria ambayo wanadai ni kiboko shinda vumbi ya Kongo. Ujinga huu unapatikana sana Kinondoni pale maeneo ya American Chips, Morocco, na mtaa wa Ufipa kwa yule jamaa muuza gongo. Makonda shughulikia hawa watu kwani wanawapa sumu wenzao wajinga.
 
Hahaaaaaaa
Naona mkuu umepata na uwanja wa kutangaza biashara[emoji38] [emoji38] [emoji38]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chipsi mayai kila kona mijini unategemea nini,mbona huku kwetu vijijini hakuna hiyo shida...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…