EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
- Thread starter
-
- #21
Ahaa nimekusoma.Ila haijakaa poa kabisa kuyafuta.Hii sijui maana yake hata ile siku ya 8/8 itakuwa inaenziwa kama siku ya wakulima Latina hamna maoneshoFedha zilizopaswa........
Lete habari kamili nitakuonyesha
Ni kwa mwaka huu tu, sababu ya uhaba wa fedha...
Wamefeli sana katika hiliFedha wanatoa wakulima na wafanyakazi
Mbona mavukao yao kupeana posho yapo kila siku
Burudani kwenye maonyesho ya Kilimo? Hakukuwa na Maonyesho ya kilimo bali gulio tu.Kama kuna ambaye anajua sababu ya kufutwa kwa maonyesho ya nane nae tujuze.Maonyesho haya yalikuwa ni fursa za kibiashara na sio fursa tu bali hata kuwa sehemu ya burudani kwa siku zile za maonyesho watu wakitoka na familia zao kubadilisha mazingira.Ninatamani sana yangerudishwa.
Maonyesho ndo mwaka hayapoMleta mada hana taarifa sahihi Nane Nane haijawahi kufutwa.
Ni mwaka huu pekee, mwakani yatakuwepo.Yamefutwa kuanzia 2021
Alikuwa sahihi, yale yalisha badilika sio tena maonyesho ya kilimo,Maamuzi mengine ya ajabu sana,ni Huyu waziri wa sasa ndio amefanya haya
Usha wahi kuhudhuria maonyesho ya Kilimo hata na nchi jirani kama Ugana au Kenya? Au Zambia ay Malawi au Zimbabwe?Ni mambo ya kushangaza Sana,badala ya kuyakuza yawe kimataifa wao wanafuta.
Imagine Nanenane ya Mbeya ambavyo huwa inanoga,tena yalikuwa yanashirikisha nchi jirani
Taahi.ra linalojidai linajua sana mambo ya kilimo kuwazidi wakulima wenyewe, nanenane yapo kila mwaka.Ni kitambo mkuu kabla hata jiwe hajashushwa kuzimu ila ni wakati wake wa kipindi cha pili
Duuh afuu stone huyu..yule jamaa sijui ingekuwaje
Mbona mwaka jana yalikuwapo na yalifanyika kitaifa mkoa wa Simiyu au upo nje ya Tanzania mkuu!!Ni kitambo mkuu kabla hata jiwe hajashushwa kuzimu ila ni wakati wake wa kipindi cha pili